Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Hata umsafishe hasafishiki kamwe.
Ile kanununi ya uongo ukisemwa sana hugeuka kuwa ukweli imekataa kwenye kumchafua JPM pamoja na mapungufu yake kuongezewa chumvi ili yanoge yanaposikilizwa na kusomwa. Najiuliza uko hai khalafu unashinda na marehemu aliye lala kaburini. Inaingia akilini kweli hii??!!.
 
Andika wewe kuhusu huyu aliyopo sasa.
Inaonyesha your lack of attention to detail....

Ukiangalia tena nilichoandika nimeandika wingi (Yaani sio Unge bali tunge mimi wewe na yeye akiwemo) kwa manufaa ya nchi yetu..., sasa kama unadhani mtu pekee anaweza ku-make a change rejea msemo wa kidole kimoja hakivunji chawa...
 
Hahitaji kusafishwa anajisafisha mnyewe huyo. Wafu hawana nafasi kati ya wenye uhai. Ndio sababu tuna washangaa wale wote wanaoendeleza ligi na marehemu.
Anajisafisha mwenyewe motoni akiwaomba radhi wale wote aliowatesa kipindi ni Rais asamehewe ,ili mateso yapunguwe lakini Lucifer anamwuliza je ulipokuwa unatesa watu mimi nilikutuma??Pambana na hali yako mkuu.
 
Anajisafisha mwenyewe motoni akiwaomba radhi wale wote aliowatesa kipindi ni Rais asamehewe ,ili mateso yapunguwe lakini Lucifer anamwuliza je ulipokuwa unatesa watu mimi nilikutuma??Pambana na hali yako mkuu.

Unatamani iwe hivyo eeeh! Pole yako. Endeleeni kuhangaika na barakoa ogopa kupigwa upofu na Mungu wa Mbinguni. Hisabu za chanjo ya kuruna.
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Heee ngoja kwanza ncheke🤣🤣🤣
 
ACHA uongo weye mnafiki mkubwa aliyo fanya zilikuwa ni sera za awali zile za Jakaya!! zake zingeanza kuonekana awamu ya ilo fuatia ambayo ni sasa na ile amabayo angelithiwa jinga weye utamdanganya nani?????

Alipoona ngoma nzito mbele pressure ikapanda chaliii!!....pamoja na madaktari wooote hao
Mjinga mmoja wewe, Et aliyofanya zilikua sera za Jakaya

Nyambafu mkubwa .. IFIKE MAHALI MUWE NA KASUMBA YA KUPONGEZA WATU NA MAMBO YAO MAZURI WALOYAFANYA



hhizo sera za JK alishindwa kuzitimiza yeye mwenyewe??..

Kuhamia Dodoma ,au JNHEPP vilianzia Kwa JK ??.

Jipige kifuani Mara tatu ukijiambia "Mimi Pichukodada ni juaa, mpuuzi na mnafiki".
 
Hahitaji kusafishwa anajisafisha mnyewe huyo. Wafu hawana nafasi kati ya wenye uhai. Ndio sababu tuna washangaa wale wote wanaoendeleza ligi na marehemu.
IMG_20190708_112420_395.JPG
 
Ujinga mtupu.... Alikunyima nafasi?? Biashara zako ziliathirika ???magep yako yalipigwa pingu??? Chuma hakua anajali wee ni MwanaCCM au lah..

Baba wa watu alitaka Kila Mmoja afuate taratibu na sio Ujanja Ujanja tu.


Hata hivo nikuulize wee Mnafiki ... Je Hatuoni makubwa aloyafanya Kwa Nchi hiii?? Uliwah waza serikali kuhamia Dom? Vipi bwawa la JNHEPP lilowashinda wengi Kwa Presha za magharibi?? Vipi kuhusu SGR? ma Flyover kila Kona ? vipi kuhusu Daraja la Busisi na Madaraja makubwa makubwa ? Vipi husu Shirika letu la Ndege ?? Vipi Elimu Bure ???

Ebwanaaa tukaanza fanana na Ulaya.

Kama Hilo dogo, Mwamba akatuingiza uchumi wa Kati katikati ya Vita ya Corona??.



NINA KILA SABABU KWA MOYO WANGU MKUNJUFU, AKILI YAKO,,, KUKUSHAURI WEWE MTAFUTA TEUZI , JARIBU KUFICHA MATOPE YAKO KICHWAN.


WATANZANIA WANA MACHO ,WANA MASIKIO, WALIONA MATENDO YAKE, WALISIKIA MANENO YAKE NA AKAYATENDA .
Kusifia kuwa amefanya maendeleo huku mikono yake ikiwa ilijaa damu na dhruma ni ujinga wa kupitiliza .kusingizia unafanya maendeleo huku unavunja haki za binadamu ni upumbavu wa kupitiliza ..huyu mtu alikuwa katili mjivuni muongo .maisha hv yapo juu Sana yy Ana mchango mkubwa sana.maana ni Kama iliingiza nchi ktk Vita kubwa kwa kuingiza miradi mikubwa kwa wakati mmoja..
 
Najaribu kupima maono yako na huu msamaha unaoomba hapa naona Kama havihusiani,,

Hivi we dhana ya uhuru unaitafsirije na unaichukuliaje..

Hakuna uhuru usio na mipaka kiongozi!!

Hata kama ukiwa uko mwenyew chumban ni lazima ujinyime baadhi ya uhuru ili mambo yako yaende sawa..

Huaga sijui nawaonaje watu wanaojadili Jambo lililopita ambalo huwez badili chochote katika maisha ya sasa!!

Kama wakati huo ulifanya hivo kwa kuona ulikuwa sahihi? Je nikipi kinakufanya kuwa wakati huu hili unalowaza juu yake liko sahih zaidi??
Muda unasaidia kuufahamu ukweli.
 
Magufuli hakufuata mtu yeyote (arbitrary) majumbani au ofisini mwao bila kosa na kuwapoteza.
Vinginevyo wote humu tungekuwa tumepotezwa...

Ukichokoza mzinga wa nyuki basi ukubaliane na madhara yake. Wachache sana waliopotezwa waliiingizwa kwenye mkumbo kimakosa au bila kosa.
Inasikitisha iwapo Magufuli alitengeneza watanzania wa aina hii.
 
  • Kwenye aya ya mwisho "Wote tulibaki midomo wazo....". Natamani ungeorodhesha hao wote mliobaki midomo wazi kwa majina.
  • Naamini yale makosa hayatajirudia tena
Kutaja watu majina sio jambo zuri. Ila ninaamini lile kosa halitajirudia tena.
 
Back
Top Bottom