Nawalaumu sana Hamas, Serikali ya Israeli pamoja na wale wanaowaunga mkono

Israel hajawahi kupigana bila kuchokozwa.. ujinga huwa naupuuzia wakishaloanzisha wakachapya wanaanza kulia lia na kulalamika wanaonewa.. why hamuachi fujo.. uzuri Israel anawapiga kama kuua mbu kwa nyundo
 
Maghayo Khaan soma hiyo post Shia wamewekwa kundi lipi.
Shia hawawez kuudhalilisha uislamu kwa kuwatukana, kubeza na kudharau maswahaba. Pia hawawez kumtukana mke wa kipenzi chetu eti kahaba. Lazima pachimbike maamaee
 
Back
Top Bottom