Nawakumbusha tu kwamba kesho ni siku ya wajinga

Mi labda nashindwa kutofautisha kati ya ujinga na kudanganya. Hivi mtu ukimdanganya alafu akadanganyika anakuwa mjinga? Mfano umpe taarifa mtu kuwa babake amefariki alafu mtu akubali wakati babaka hajafariki. Hivi huyu mtu anakuwa mjinga? Kwani kufariki si binadam yoyote anafariki. Neno sikukuu ya wajinga mi naona si sahihi. Sana sana katika hii siku naona watu wanaiashia kudanganyana tu. Hii ni siku ya kudanganyana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatujui kutofautisha...kuna vitu ya kumfanya mtu aonekane mjinga kama akishindwa kutumia akili yake sawa,.na sio udanganyifu,.
 
Tarehe mosi ya mwezi April ulimwengu huadhimisha sikukuu ya wajinga au ujinga ulimwenguni.

Tukitazama sikukuu ya MWAKA MPYA watu wengi wanaelekea kusherekea kwa kuwa wanaamini mwaka mpya...fursa mpya hivyo wanatumainia kufika hatua za nyayo za ndoto zao.na hata namna yake ya ushekeaji huweza kuashiria hivyo.

Tukitaza sikukuu ya Christmas watu huamini juu ya kuzaliwa kwa mwokozi wao ulimwengun hususan wakristo ..hivyo imani yao ni juu ya kuzaliwa kwa mwokozi kunaweza kuwaokoa kutoka madhambini.
Tukitaza PASAKA watu husherekea ufufuko wa yesu kristo kutoka umauti ambayo ni ishara ya kusamehewa kwa dhambi na kuanza maisha mapya ya uokovu.

Kwanini Sikukuu ya Wajinga? Hapa kuna maswali mosi juu ya namna wengi wanavyoisherekea kwa kutumiana taarifa na maarifa mbalimbali ambayo anghalabu hukinzana na ukweli au maadili ya jamii Kwamba JE tunasherekea kuudumisha ujinga au kuukomesha ujinga?

Pili ni JE kusherekea siku hii ni ujinga au hekima?
Karibuni katika tafakuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe mosi ya mwezi April ulimwengu huadhimisha sikukuu ya wajinga au ujinga ulimwenguni.
Tukitazama sikukuu ya MWAKA MPYA watu wengi wanaelekea kusherekea kwa kuwa wanaamini mwaka mpya...fursa mpya hivyo wanatumainia kufika hatua za nyayo za ndoto zao.na hata namna yake ya ushekeaji huweza kuashiria hivyo.
Tukitaza sikukuu ya Christmas watu huamini juu ya kuzaliwa kwa mwokozi wao ulimwengun hususan wakristo ..hivyo imani yao ni juu ya kuzaliwa kwa mwokozi kunaweza kuwaokoa kutoka madhambini.
Tukitaza PASAKA watu husherekea ufufuko wa yesu kristo kutoka umauti ambayo ni ishara ya kusamehewa kwa dhambi na kuanza maisha mapya ya uokovu.
Kwanini Sikukuu ya Wajinga? Hapa kuna maswali mosi juu ya namna wengi wanavyoisherekea kwa kutumiana taarifa na maarifa mbalimbali ambayo anghalabu hukinzana na ukweli au maadili ya jamii Kwamba JE tunasherekea kuudumisha ujinga au kuukomesha ujinga?
Pili ni JE kusherekea siku hii ni ujinga au hekima?
Karibuni katika tafakuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisherehekea ujinga huo basi ujijue kiwa na wewe ni miongoni mwa hao wajinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom