Dorrynyakato
Member
- Jul 17, 2016
- 5
- 6
Kwa wahitimu wa form six napenda kuwajulisha pia wakati mnachagua degree program pia kuna program kama za bachelor's of science in. Chemistry, biology, physics, mathematics and statistics.
Watu wengi huwa wanazidharau hizi programs but ni kwa sababu hawajui vizuri undani wake na mapana yake. So vijana msikimbilie hasa kwenye programs za ushindani wakati kuna program unaweza ukasoma na ukatoka ukawa umeiva vizuri kwa maisha ya kesho..
Mwaka Jana watu walizidharau walipokosa nafasi wakaanza kusema"lite ningejua" so katika machaguo yako chagua kulingana na points zako na idadi ya watu wanahitajika...so elewa kuwa life popote cha msingi mkono unaenda kinywa..so NAWAKARIBISHA UDOM KWENYE HIZO PROGRAM
Watu wengi huwa wanazidharau hizi programs but ni kwa sababu hawajui vizuri undani wake na mapana yake. So vijana msikimbilie hasa kwenye programs za ushindani wakati kuna program unaweza ukasoma na ukatoka ukawa umeiva vizuri kwa maisha ya kesho..
Mwaka Jana watu walizidharau walipokosa nafasi wakaanza kusema"lite ningejua" so katika machaguo yako chagua kulingana na points zako na idadi ya watu wanahitajika...so elewa kuwa life popote cha msingi mkono unaenda kinywa..so NAWAKARIBISHA UDOM KWENYE HIZO PROGRAM