Nawakaribisha Chuo kikuu cha Dodoma

Nawakaribisha Chuo kikuu cha Dodoma

Dorrynyakato

Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
5
Reaction score
6
Kwa wahitimu wa form six napenda kuwajulisha pia wakati mnachagua degree program pia kuna program kama za bachelor's of science in. Chemistry, biology, physics, mathematics and statistics.

Watu wengi huwa wanazidharau hizi programs but ni kwa sababu hawajui vizuri undani wake na mapana yake. So vijana msikimbilie hasa kwenye programs za ushindani wakati kuna program unaweza ukasoma na ukatoka ukawa umeiva vizuri kwa maisha ya kesho..

Mwaka Jana watu walizidharau walipokosa nafasi wakaanza kusema"lite ningejua" so katika machaguo yako chagua kulingana na points zako na idadi ya watu wanahitajika...so elewa kuwa life popote cha msingi mkono unaenda kinywa..so NAWAKARIBISHA UDOM KWENYE HIZO PROGRAM
 
Ingekuwa vizuri ukatueleza zinalenga kufundisha wahitimu wa kufanya kazi gani?
 
Hizo program hazihusiani na program za ualimu...mfano kwa mtu anayesoma bachelor of science in chemistry anaandaliwa kuwa mkemia katika sekta mbali mbali mfano kwenye sekta ya viwanda kuna mambo ya production, mkemia anahusika ambapo hapo anasifa kutoka na kuwa vizuri katika course ya industrial chemistry..pia katika kuthibiti viwango vya bidhaa zinazozalishwa katika viwanda mbali mbali mfano viwanda vya bia, madawa, soda na maji hii ni katika field ya quality control and assuarance, pia katika mambo ya drug discovery and design mkemia anahusika kwa sababu ya kuwa na knowledge kwenye field ya medicinal chemistry...pia kwenye analysis za maji katika vyanzo mbalimbali kwa wale wachimba visima au sehemu ambapo maji yanahitajika kwa ajili ya kunywa..mkemia anahitajika katika kupima viwango vya heavy metals kama lead, mercury, arsenic na cadmium kwa ajili ya kulinda afya ya mtumiaji, pia analysis of water hardness, amount of flouride, lakini pia katika analysis of drugs used by criminals and also verifying suspected person committing crimes through different sample tests taken from crime scenes through knowledge of forensic analysis and toxicological chemistry
 
Hizo zingine sina more details but uelewe hizo hazihusiani na kwenda kufundisha darasani..kwenda kufundisha ni hiari ya mtu pale kama utapewa nafasi katika shule flani na hii utachukuliwa kwa sababu ya kuwa na knowledge za kuandaa practicals zinatakazofanyika kwa wahusika ...so in all hizo program watu wanazidharau lakini zina mafunzo mazuri sana...na zinakufanya kuwa na uwanja mpana wa kusoma masters katika field mbalimbali
 
Hizo program hazihusiani na program za ualimu...mfano kwa mtu anayesoma bachelor of science in chemistry anaandaliwa kuwa mkemia katika sekta mbali mbali mfano kwenye sekta ya viwanda kuna mambo ya production, mkemia anahusika ambapo hapo anasifa kutoka na kuwa vizuri katika course ya industrial chemistry..pia katika kuthibiti viwango vya bidhaa zinazozalishwa katika viwanda mbali mbali mfano viwanda vya bia, madawa, soda na maji hii ni katika field ya quality control and assuarance, pia katika mambo ya drug discovery and design mkemia anahusika kwa sababu ya kuwa na knowledge kwenye field ya medicinal chemistry...pia kwenye analysis za maji katika vyanzo mbalimbali kwa wale wachimba visima au sehemu ambapo maji yanahitajika kwa ajili ya kunywa..mkemia anahitajika katika kupima viwango vya heavy metals kama lead, mercury, arsenic na cadmium kwa ajili ya kulinda afya ya mtumiaji, pia analysis of water hardness, amount of flouride, lakini pia katika analysis of drugs used by criminals and also verifying suspected person committing crimes through different sample tests taken from crime scenes through knowledge of forensic analysis and toxicological chemistry
Umeeleza vyema kabisa mkuu. Je upo katika field hiyo?
 
Mfano mzuri mm nilitamani kusoma pharmacy but nilikosa nafasi lakini katika machaguo yangu niliweka na hii program ya bsc. Chemistry ambayo ndo nilipata kama my second priority so sikujutia kwa sababu life popote na baada ya kufuatilia sana nikaona kwamba sijaingia katika shimo baya maana wakati naichagua, nilichagua kwasababu nilikuwa naiweza chemistry..lakini bro wangu akaniambia kuwa upo kwenye reli .maana yeye mwenyewe alisoma hiyo na baada ya kumaliza akapata kazi pale kilimanjaro school of pharmacy as tutor and know he already take his masters on field of Pharmacy..so hata mm nina plan za kupiga field kwenye pharmacy so vijana tusikate tamaa hata kama point zetu ni ndogo au competition ni kubwa kuna njia unaweza ukapita na ukafikia malengo yako..cha msingi ni kujipanga
 
Kwa mfano mdogo...mtu anayesoma biotechnology, microbiology, environmental scince, wildlife consevartion, forestry, wanapiga field sehemu moja na mtu anaye piga bachelor of science in biologoy japo kutakuwa na tofauti katika baadhi ya skills but mwisho wa siku hawa watu wakiajiriwa wanaenda sawa...
 
Mtu anayesoma chemical engineering na na anayesoma bsc. Chemistry wanapiga field sehemu moja but watakuwa na tofaouti ktk baadhi ya sehemu lakini mwisho wa siku kazi wanapiga pamoja...
 
Naomba kujua zaidi kuhusu bachelor in physics.napenda sana physics
 
Back
Top Bottom