mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,019
- 1,945
Habari za mihangaiko ndugu jamaa na marafil wa jf.
Natumai wazima wa afya tele,
Mm pia cjambo
Wana jamii wenzang ,wake kwa waume vijana kwa wazee, mabibi na mabwana napenda kufuchuka nafasi ya kuwaalika wote kwenye shughuli fupi ya kupeleka mahali kwa familia ya mchumba wangu iliopo majohe Chuo rada jijini dar-es-salamal, itakayofanyika mida ya saa saba mchana.
Kwa alie na nafasi na yupo Karibu anaalikwa ktk shughuli hiyo cna mengi zaid kwa mawasiliano unaweza not cheki WhatsApp +255785332020, lkn pia unaweza kupiga au kutuma ujumbe wa kawaida kwa namba hiyo hiyo au ukatumia namba hii +255719103409 wote mnakabishwa bila kukosa asanteni sana
Natumai wazima wa afya tele,
Mm pia cjambo
Wana jamii wenzang ,wake kwa waume vijana kwa wazee, mabibi na mabwana napenda kufuchuka nafasi ya kuwaalika wote kwenye shughuli fupi ya kupeleka mahali kwa familia ya mchumba wangu iliopo majohe Chuo rada jijini dar-es-salamal, itakayofanyika mida ya saa saba mchana.
Kwa alie na nafasi na yupo Karibu anaalikwa ktk shughuli hiyo cna mengi zaid kwa mawasiliano unaweza not cheki WhatsApp +255785332020, lkn pia unaweza kupiga au kutuma ujumbe wa kawaida kwa namba hiyo hiyo au ukatumia namba hii +255719103409 wote mnakabishwa bila kukosa asanteni sana