Nawaalika wote kwenye shughuli fupi ya kupeleka mahali kwa familia ya mchumba wangu

mbenda said

JF-Expert Member
Apr 13, 2019
1,019
1,945
Habari za mihangaiko ndugu jamaa na marafil wa jf.


Natumai wazima wa afya tele,

Mm pia cjambo

Wana jamii wenzang ,wake kwa waume vijana kwa wazee, mabibi na mabwana napenda kufuchuka nafasi ya kuwaalika wote kwenye shughuli fupi ya kupeleka mahali kwa familia ya mchumba wangu iliopo majohe Chuo rada jijini dar-es-salamal, itakayofanyika mida ya saa saba mchana.

Kwa alie na nafasi na yupo Karibu anaalikwa ktk shughuli hiyo cna mengi zaid kwa mawasiliano unaweza not cheki WhatsApp +255785332020, lkn pia unaweza kupiga au kutuma ujumbe wa kawaida kwa namba hiyo hiyo au ukatumia namba hii +255719103409 wote mnakabishwa bila kukosa asanteni sana
 
Mapema tu
lakini kama familia ni ya RC basi hapo baada ya kutoa mahali lazima watu watakase makoo hukuu wadogo na wakubwa wa mtolewa mahali wanajipitisha baada ya aibu yako kuisha ni fully kuchukua namba tu na ni rahisi sana maana mood ya siku hiyo ni kupata kama alichopata dada yao
 
lakini kama familia ni ya RC basi hapo baada ya kutoa mahali lazima watu watakase makoo hukuu wadogo na wakubwa wa mtolewa mahali wanajipitisha baada ya aibu yako kuisha ni fully kuchukua namba tu na ni rahisi sana maana mood ya siku hiyo ni kupata kama alichopata dada yao
😁😁😁ko Ni mteremko tu,
 
Back
Top Bottom