acacia7114
Member
- May 25, 2013
- 7
- 2
Wakuu!
Juz juz nilikata ya FastJet toka Dar kwenda Kili na Kurudi ya kusafiri siku ya kesho asubuhi tarehe 03.07.2014 ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimecancel safari hiyo na sitarajii kwenda Kili hiv karibuni.
Nimeenda ofisi zao hapa Dar, hawataki ku cancel my trip ila wanaruhusu ku change trip na uwalipe changing fee $ 45.
Sipo tayari kufanya hvyo kwani kutokana na majukumu yangu sitaweza kuondoka.
Kwa hiyo ndugu zangu mwenye hitaji hilo tutafutane kuliko kupoteza ticket hii iende bure.
Nilinunua 90,000/- nikipata mtu anirudishie io pesa ni vyema. Otherwise imekula kwangu
Juz juz nilikata ya FastJet toka Dar kwenda Kili na Kurudi ya kusafiri siku ya kesho asubuhi tarehe 03.07.2014 ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimecancel safari hiyo na sitarajii kwenda Kili hiv karibuni.
Nimeenda ofisi zao hapa Dar, hawataki ku cancel my trip ila wanaruhusu ku change trip na uwalipe changing fee $ 45.
Sipo tayari kufanya hvyo kwani kutokana na majukumu yangu sitaweza kuondoka.
Kwa hiyo ndugu zangu mwenye hitaji hilo tutafutane kuliko kupoteza ticket hii iende bure.
Nilinunua 90,000/- nikipata mtu anirudishie io pesa ni vyema. Otherwise imekula kwangu