Wadau
Mim ni mjasiriamali nna ticket tajwa 2 za watu wazima 1 mtoto mchanga, pia nililipia mizigo ya kwenda safari ya kwenda na kurudi Kilimanjaro Airport
Safari nime cancel, nachohitaji ni refund. Bei nlio nunulia ni 232,000/- pamoja na kodi.
Kuna uwezekano wa kununua ticket mojawapo Kwa nusu bei!
Mim ni mjasiriamali nna ticket tajwa 2 za watu wazima 1 mtoto mchanga, pia nililipia mizigo ya kwenda safari ya kwenda na kurudi Kilimanjaro Airport
Safari nime cancel, nachohitaji ni refund. Bei nlio nunulia ni 232,000/- pamoja na kodi.
Kuna uwezekano wa kununua ticket mojawapo Kwa nusu bei!
FastJet said:ONYO
fastjet Airlines Limited, imesikitishwa sana na kitendo cha watu kuuza tiketi kwa njia ambayo si sahihi. Utaratibu wa fastjet uko wazi na unaeleza kwamba tiketi ikishanunuliwa haitaweza kubadilishwa jina ama kuuzwa kwa mtu ambaye si mmiliki wa tiketi hiyo. Kwahiyo basi tunatoa Onyo kali kwa huyu aliyeweka tangazo hili na kwa watu wote ambao wanajihusisha na uuzaji wa tiketi ili watu wasafiri kwa majina ambayo si yao. Endapo utafanya hivyo tutakukamta na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yako. Tunawaomba wateja wetu wote muwe makini na msinunue tiketi ambazo hazina majina yenu hii ni muhimu sana na ni kwaajili yako na sababu za kiusalama.