Nauza suruali za kadeti

Nauza suruali za kadeti

20171223_201450.jpeg
size 36
 
20171223_201212.jpeg
 

Attachments

  • 20171223_201819.jpeg
    20171223_201819.jpeg
    16.9 KB · Views: 64
  • 20171223_201907.jpeg
    20171223_201907.jpeg
    16.5 KB · Views: 63
Neno Original naona Limeingiliwa na wahuni Mimi Kadeti zangu nanunua

Tsh. 115,000/= hadi Tsh. 126,000/= Pale Woolworth na Springfield hizi fua Ufuavyo hazijuji Kizembe , sasa nashangaa mtu anasema kadet Original Sh. 23,000/= hii Ukiloweka kwenye maji kama ni nyeusi maji yatabadilika na Kuwa meusi inavyochuja.
 
Neno Original naona Limeingiliwa na wahuni Mimi Kadeti zangu nanunua

Tsh. 115,000/= hadi Tsh. 126,000/= Pale Woolworth na Springfield hizi fua Ufuavyo hazijuji Kizembe , sasa nashangaa mtu anasema kadet Original Sh. 23,000/= hii Ukiloweka kwenye maji kama ni nyeusi maji yatabadilika na Kuwa meusi inavyochuja.
Sawa mzee wa lumumba wewe hata ungenunua million 1
Ungeona watu wanalalamika hapa, kama huna ishu ya msingi tulia tu sio lazima uchangie
 
Una deliver kuanzia PC ngapi kwa dar? Gharama za usafiri si juu yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom