mbona hupatikani kwa namba ya simu uliyoweka hapa?Hapana sio mtumba, ni special chief
mbona hupatikani kwa namba ya simu uliyoweka hapa?Hapana sio mtumba, ni special chief
Napatikana boss nichek sasa hivimbona hupatikani kwa namba ya simu uliyoweka hapa?
Hiyo aina siijui na sijawahi uliziwa ila uzuri wa kadet sio jina kwa upande wanguHivi kwanini hamuuzagi kadet za maana kama CHINO zile zinazopatikana maduka kama woolweath?
jeans unazo... Na kama zpo ni Sh ngap..?TSh23,000 boss karibu!!
Nenda ukaziangalie mr price. Kuna kadet imara bei inaanzia 60000 hadi 90000. Zinauzwa sana kwenye maduka ya wasauzi kama vile edgar, woolweath n.kHiyo aina siijui na sijawahi uliziwa ila uzuri wa kadet sio jina kwa upande wangu
Sio special sema ni mpya..Hapana sio mtumba, ni special chief
Bei ya 23000 kuna watu wanalalamika kubwa hiyo 60k si zitanidodea kamanda naangalia na wateja wangu mifuko yaoNenda ukaziangalie mr price. Kuna kadet imara bei inaanzia 60000 hadi 90000. Zinauzwa sana kwenye maduka ya wasauzi kama vile edgar, woolweath n.k
Vizuri kuanhalia mahitaji ya sokoBei ya 23000 kuna watu wanalalamika kubwa hiyo 60k si zitanidodea kamanda naangalia na wateja wangu mifuko yao
Sawa kamandaSio special sema ni mpya..
Nipo kinyerezi boss no hii hapa 0657438581 karibu...!!Unapatkana wap mawsiliano nije nikuunge size 37
Hazipauki mr. Naomba no yako au nicheki watsapp ili tuwasilianeKama hazipauki nitafutie namba 40, pc 5 ila usiweke rangi nyekundu, beige, kijani. kwa bei ya sh 20,000.
Jeans zipo captain zenyewe ni tsh 22,000 karibujeans unazo... Na kama zpo ni Sh ngap..?
Huu ndo ugonjwa wangu aiseeH.. Ngoja nivunje kibubu... Maana MasMas ndo hyo inadropJeans zipo captain zenyewe ni tsh 22,000 karibu
Akipeleka Dutwa nishitue maana mie nipo Ngasamo nataka nisogee hapo mnada wa JtanoMiji ya wasukuma kama kahama, ushirombo, katoro, dutwa, nk. Huko kote kuna minada karibia kila wiki ukienda huko unauza tena kwa bei mara mbili ya unayouza sasa wasukuma wanapenda sana hayo mambo tena upeleke nyingi za kufanana wanapenda wavae zinazofanana mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app