Nauza suruali za kadeti

Nauza suruali za kadeti

Usifananishe zile za kichina na hizi aisee wewe kama kama una vaa hizo vaa hizi sio za kichina na nilio wauzia wanajua tofauti zake
Hahahah..! Eti siyo za kichina unachekesha kweli zako umezitoa ujerumani eti???
 
Hahahah..! Eti siyo za kichina unachekesha kweli zako umezitoa ujerumani eti???
Tulia tu, Tatizo ujawah nunua kwangu ndio mana hujui nauza bidhaa ina viwango gan
Ila ndio nakazia tena usifananishe zile za k/koo na hizi
 
Hivi kwanini hamuuzagi kadet za maana kama CHINO zile zinazopatikana maduka kama woolweath?
Mimi kadeti hizi za sampuli hii sijui huwa nazionaje kadet unaifua siku mbili imefubaa, kuna duka nachukuaga kadeti pale kino aisehhh sijawahi jutia, nilichukua kadeti black tangu mwaka jana mpaka sasa hata kufubaa haijafubaa na bei yake ni ilikua 70 sio mchezo.
 
mhh kadeti hzi za kijanja mkuu!nampenda mwanaume anaevaa kadeti!hizi sio za minadani!manguo ya kisukuma yanajulikana unaweza kukaukiwa koo ukiziona
Hahahhahaha wanawake wengi huwa mnavutiwa sana na wanaume wavaa kadeti eti
 
Mimi kadeti hizi za sampuli hii sijui huwa nazionaje kadet unaifua siku mbili imefubaa, kuna duka nachukuaga kadeti pale kino aisehhh sijawahi jutia, nilichukua kadeti black tangu mwaka jana mpaka sasa hata kufubaa haijafubaa na bei yake ni ilikua 70 sio mchezo
.
Mchango wako haukuwa na haja ...kwani ni lazima uchangie kila kitu???
 
Mchango wako haukuwa na haja ...kwani ni lazima uchangie kila kitu???
Ficha ujinga wako, maana ni dhahiri una ukakasi kwenye mitazamo.... Nisichangie kisa nini? matumizi yangu ya mtandao yanakuumizaje wakati huchangii hata cent
 
20171212_205500.jpeg
20171212_205741.jpeg

versace dark blue
Size 36
 
Niko mjini sasa juma5 tutaftane sasa ya week ijayo nikimaliza mizunguko ya familia sasa nije nichukue uzi wangu hapo kwako
 
Mkuu kama sio zile za kupauka nahtaji tano kesho mchana kwa 20,000/=@

Rangi tofauti kiuno 36
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom