Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 3,427
- 10,603
- Thread starter
-
- #21
Ndo mawazo yako yalipoishia.Hapa mtu anaomba hela kijanja.
This is best you can offer?💔nina imani utapata msaada
Simu nimenunua 2023,vishapoteaTunaomba box na risiti
Ni 140,000 mkuuKuna 40k haina kazi hapa
Hahahaa. Lol.Kwanini mna fosi watu wote wafanye kile ninyi mnataka? Kwamba hakuna maisha bila siasa huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine mwacheni mtu afanye kile anacho jisikia wewe toka umeanza kushabikia siasa imekufikisha wapi?
Sina namna kuwapata Wala kujua anaehitaji.ndo mana najaribu mitandaoniKwa mawazo yangu hii simu ungeuzia watu huko unapoishi ambapo wanakufahamu vyema.
Na hii ingerahisisha haya maswali mengi tunayokuuliza hapa.
Tuko pamojaNina shida guys,nimezodiwa mahitaji naumwa hata dawa aina Hela bado mengine
nauza simu yangu Infinix note 12 Kwa 140,000
Haina shida ila Ina crack kwenye kioo,ni kubandika protector na cover mpya basi.
Nipo Dar
Whatsapp +255760193578
Sina simu ya ziada kupigia picha ila ni kama uonavyo na pia specifications zake nimscreenshot kwenye simu yenyewe.
Good luckMimi ni critics wa hii rogue regime humu ndani, ni winga kariakoo na natangaza biashara humu mda wote.
Acha kuuzia watu uoga
Kama huwezi kuji heshimu, basi heshimu wengine kwa nafasi zaoNjia mpya ya kudanga hii
Sina wa kuniletea ugali lupango mkuuSister Abigail umenikera uliposema siasa haukuhusu,ungekua active citizen na ukaengage vizuri kwenye siasa pengine tungepata mabadiliko na huu ugonjwa ungetibiwa bure bila kuuza hii kitu yako.
Acha jeuri kua siasa haukuhusu,siasa ni maisha yako
Change or perish.
Haya unaumwa nini mkuu hebu tuelezee hapa na uweke namba tutume hizi bukubuku zetu hapa Kkoo
Wananikwaza sana watu wanao fwatilia siasa wanajiona wako na akili kuliko kawaidaHahahaa. Lol.
Amen asantedear..
Jipe moyo mkuu, Mungu atakusaidia..!
Pia, hawa watu wa hapa wasikukatishe tamaa, mtu anayetaka kufanya biashara serious atakufuata inbox..!
ChaiNdo mawazo yako yalipoishia.
Kama ningeomba Hela ningekuja direct.mpaka nauza simu it means natafuta Hela halali.
Nsingeweka namba ya simu bado ungesema tapeli
Watu kama wewe hamkosekani kwenye hii Dunia.
Nimewazoea
Kama ya wizi je? Maana huna uthibitisho wowote kama hiyo simu ni yako.Nauza 140
Simu nimenunua 2023,vishapotea
Naona unatumia juhudi kubwa hance
Anataka simu aje namkabidhi mikononi.
Unatumia nguvu kubwa nsifanikiwe.baada ya hili utafaidika na Nini?Kama ya wizi je? Maana huna uthibitisho wowote kama hiyo simu ni yako.