Old pirate
Member
- Nov 20, 2018
- 28
- 24
- Thread starter
- #21
Ni kweli usemalo lkn ningeweka bei zaid ya hapo nicngepata ata wakucoments tu.Lkn c mbaya kwasababu bihashara ni maelewano na kuridhia uwez nunua ktu bila kukikaguabei ikiwa rahisi sana huwa inatia mashaka.. hata kigari vitz tu ukiambiwa unauziwa kwa laki 5 lazima machale yakucheze