Old pirate
Member
- Nov 20, 2018
- 28
- 24
Samsung galaxy note 8plus 64gb android version 7.0 ipo poa imetumika mwez mmoja tu nnashida na pesa naiuza Tsh 290,000/=Tu.Dukani ni zaidi ya Tsh 800,000/=Napatikana kihonda Morogoro 0688884385
Kama unamtu hapa morogoro unaemuamin itakuwa poa zaid ili akutumieNipo shay naipataje?
Karibu ukague mzigoHa ha ha ha ha naheshimu biashara yako ila nafikr ulitakiwa kuongeza na neno Clone kuweka uhalisia zaid
Kama anajua maana ya clone relevancy to his phone nitag Bw. Bonny....290000 😂😂Ha ha ha ha ha naheshimu biashara yako ila nafikr ulitakiwa kuongeza na neno Clone kuweka uhalisia zaid
Umejuaje kabla ya kuitest?Mchina copy & paste
Wakuu shida ni bei iliyowekwa au? Tambua c kila anaeuza kitu ni kwasabab kapenda kunamatatizo yanakaba mpaka koo me mwenyewe naiuza huku roho inaniuma ikitoka nimesolve tatizo ntaghair fasta sana kwa taarifa ni kwamba hyo cm hata ikiwa fake huwez kuipata ata kwa laki4 due its qualificationsKama anajua maana ya clone relevancy to his phone nitag Bw. Bonny....290000 😂😂
Wakuu shida ni bei iliyowekwa au? Tambua c kila anaeuza kitu ni kwasabab kapenda kunamatatizo yanakaba mpaka koo me mwenyewe naiuza huku roho inaniuma ikitoka nimesolve tatizo ntaghair fasta sana kwa taarifa ni kwamba hyo cm hata ikiwa fake huwez kuipata ata kwa laki4 due its qualificationsKama anajua maana ya clone relevancy to his phone nitag Bw. Bonny....290000 😂😂
Dah, aisee! Shida ni bei ndiyo. Halafu, uliwahi kuiona Note 8 plus wapi? Nani aliyerelease hiyo simu na mwaka gani[emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu shida ni bei iliyowekwa au? Tambua c kila anaeuza kitu ni kwasabab kapenda kunamatatizo yanakaba mpaka koo me mwenyewe naiuza huku roho inaniuma ikitoka nimesolve tatizo ntaghair fasta sana kwa taarifa ni kwamba hyo cm hata ikiwa fake huwez kuipata ata kwa laki4 due its qualifications
Siyo kwa bei hiyo aiseeehUmejuaje kabla ya kuitest?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah, aisee! Shida ni bei ndiyo. Halafu, uliwahi kuiona Note 8 plus wapi? Nani aliyerelease hiyo simu na mwaka gani[emoji23][emoji23][emoji23]