Nauza samsung galaxy note 8plus 64gb tsh 290,000/= tu

Nauza samsung galaxy note 8plus 64gb tsh 290,000/= tu

Mimi nauza Samsung galaxy grand max. Orijino kutoka Korea. Unapata na charger na earphone kwa bei ya tsh 300,000 tu
 

Attachments

  • 20181113_203534.jpg
    20181113_203534.jpg
    157.5 KB · Views: 31
  • 20181113_203521.jpg
    20181113_203521.jpg
    157.4 KB · Views: 32
Kwa kifupi mzee baba umepigwa hiyo kitu, hilo ni copiiiii kabisaaa. Ushauri wangu, tafuta mwalimu muuzie mana wao wapo wapo tu, hata hawaelewi dunia inaendaje

halafu ni ile copy ya dola 45 tu....
 
Kwa kifupi mzee baba umepigwa hiyo kitu, hilo ni copiiiii kabisaaa. Ushauri wangu, tafuta mwalimu muuzie mana wao wapo wapo tu, hata hawaelewi dunia inaendaje
Watake radhi walimu wewe
 
Samsung galaxy note 8plus 64gb android version 7.0 ipo poa imetumika mwez mmoja tu nnashida na pesa naiuza Tsh 290,000/=Tu.Dukani ni zaidi ya Tsh 800,000/=Napatikana kihonda Morogoro 0688884385View attachment 951253View attachment 951254View attachment 951257View attachment 951253View attachment 951254View attachment 951257
Ndugu yangu umepigwa hiyo sio original,,yaani nimeiangalai tu nimegundua

MM ni mpenzi sana wa Note series ila hiyo yako haipo,ila kwa bei ulio inataja ni sawa kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom