Kwa bei hiyo inawafaa wa kanda ya ziwa kwa jumla ni kubwa kidogoNiende mojamoja kwenye mada nina Gunia 100 (KULINGANA NA MTAJI WANGU UKIHITAJI NIKUKUSANYIE PIA SAWA) ya pumba za mahindi nauza kg moja sh 80 niko kanda ya ziwa kwa anayehitaji tufanye biashara tuchekiane PM
kama kg 1 ni sh 80, kg 20 ni 1,600/- niko sawa? hizo pumba unaziokota tuu bure au? maana huku nilipo debe moja shs 5000 na hapo ni ujazo sio uzito. it means ile debe ninayouziwa yaweza kuwa kg 15 maana pumba siyo nzito kama mahindi. watu wengine wana raha jamani laiti ningekuwa hukoKwa bei hiyo inawafaa wa kanda ya ziwa kwa jumla ni kubwa kidogo
Kila la kheri katika uuzaji
Jamaa hajibu tena aiseeMkuuu kwani guniq sh ngapi??
Na je gunia Lina kilo ngapi?
Vipi uduvi upo?
Mkuu, uko kanda ya ziwa sehemu gani...nahitaji zote hizo.Niende mojamoja kwenye mada nina Gunia 100 (KULINGANA NA MTAJI WANGU UKIHITAJI NIKUKUSANYIE PIA SAWA) ya pumba za mahindi nauza kg moja sh 80 niko kanda ya ziwa kwa anayehitaji tufanye biashara tuchekiane PM