Nauza pilipili aina ya Nayer's

Nauza pilipili aina ya Nayer's

Kwa wale msiotumia pilipili,sasa tumekuletea bidhaa yetu ya Ukwaju sauce... Yani hii ni
Kionjo hiki unaweza kukitumia pembeni ya msosi wako kikakupa ladhà ya pekee pia unaweza kutumia ku(marinate) Hapa unachukua Ukwaju sauce yako unamiminia kuku wako au samaki pamoja na viungo vingine....Yani kama unachoma au unakaanga inakuwa Tamu balaa.. Karibuni sana.
a40e0123cf0354e44ede6f3425b0b08d.jpg
 
Mungu akiwezesha alhmis ipo mtaani...wa mikoani sijawatenga nicheck 0629565168 nakutumia
 
shukran wakuu wa nje ya Dar...ni msisimko wa kitanzania
7b683f5798fd5ee1800f3238b7aaf5d9.jpg
1d4282e23d379a2fcbb9774a6c5a5e93.jpg
5cfa44f6e004ce287931c9544f5a2256.jpg
b8dbfc9e3fa44890f7a54b9901fd59aa.jpg
 
a2601e63a4344e6c0b4691fca5b896ee.jpg
...ITAPENDEZA SANA Msisimko huu ukiwa nao nyumbani kwako
 
9829db529328ef6295d89ec4cd522ae4.jpg
115c413f1fe86e09548ab4305fe1d749.jpg
7ad12ed80736ceae941045fd3c83136c.jpg
Karibuni sana tumeleta Ukwaju sauce, hiki kionjo sio cha kukikosa' yani kinaongeza ladha kwenye mlo wako . Na kwa wapishi wazuri hii unaweza kutumia katika nyama au samaki mbichi kabla hujakaanga au kuchoma ....ni tamu sana wajameni... toa oder yako tutakuletea popote ulipo na mkoani tunatuma.
 
Back
Top Bottom