Nauza pilipili aina ya Nayer's

Nauza pilipili aina ya Nayer's

Mnatuzinguaga tu mavitu kibao feki na yamepitishwa na hao tfda yapo supermarket (artificial zote zina preservatives, etc), sasa huyu kakwambia kabisa kitu natural, na isitoshe ndio anaanza! Soon huo wimbo wa tfda tutaanza kuuskia hadi kwenye maandazi ya mama ntilie! Au kisa kuweka kwenye chupa? Au kuipa jina?

Unaongea nyuma ya keyboard,siku wakikamata bidhaa zake wewe hautokuepo

Hasara itakua kwake

Hivyo ili kufanya biashara yake kwa amani ni vizuri akawa hana mtafaruku na mamlaka
 
Unaongea nyuma ya keyboard,siku wakikamata bidhaa zake wewe hautokuepo

Hasara itakua kwake

Hivyo ili kufanya biashara yake kwa amani ni vizuri akawa hana mtafaruku na mamlaka
Ni kweli ila kuna haja ya marekebisho makubwa ya hizi sheria kwenye hizi nchi ambazo bado zimo kwenye list ya umaskini. As of the current situation afuate ushauri wako wa kutafuta vibali, na atumie "maarifa ya ziada" kuhakikisha hakwamishwi na huo utaratibu
 
aaaaaawwww kwa nyama nyama dah!hebu muilete na mikoani
 
Tatizo umesahau bei
bei nimeweka mkuu....
5aea5e790d1a9c9c29656b9135a08308.jpg
...elfu 5, elfu 3, elfu 2 na mia 5
 
Ubora wa bidhaa kama hizi unatakiwa uwe approved na TFDA/TBS na kupewa vibali na pia kodi stahiki ya TRA ilipwe. Jee umekamilisha yote haya kabla ya kuweka sokoni bidhaa zako?
 
1e8ae68bff41da4d024bb7ce32467039.jpg
... popote ulipo kazi au nyumbani msisimko wa kitanzania utakufikia....shukran wakuu kwa kusapport kazi
 
Mkuu nakutumia fasta ata km ni one bottle...nicheck 0629565168

NIMECHUKUA namba yaan dah !nikija dar nitaichukua !soon naja!

yaan hyo mie unajua naiweka kwenye nn!nafry jodari ***** wa kunitosha then napika pilau hyo ndo itakuwa nalumangia na jodari wangu !
cc ,Miss Natafuta kula kula mwenzangu
 
391cea7b69273fca1a4bdd4241177109.jpg
500f84b86091100c5b551ea40dcb433d.jpg
3a7786c284e1ffa53765f78fc3546c8e.jpg
688cb0875f9af6a508aa7ba25065bea6.jpg
a4e91a39dd45ea0b7d4e16a6ac062909.jpg
99ac0200ced75eb9f07f2214326c97b0.jpg
Mchanganyiko wa matunda, tangawizi, vitunguu swaumu, vinegar....inapatikana ktk ujazo tofauti. Watu wa bar, restaurant, BabaQ n.k naweza kukuwekea ktk ujazo kulingana na maitaji yako kibiashara...nafanya delivery bure kwa Dar es salaam siku ya ijumaa na jumatatu...0653408957 na 0629565168
Mie naishi tabora.je waweza nielekeza jinsi ya kutengeneza ili na mm nitengeneza badala ya kuwa mayer iwe taborayer
 
Hiyo Neyer's ni aina ya pilipili au ni brand?

Kama ni brand basi usiseme unauza pilipili aina ya Neyer's

Kwasababu aina ya pilipili ni mfano- pilipili mbuzi, pilipili hoho etc. Sijawahi kusikia pilipili aina ya neyer's
 
Hiyo Neyer's ni aina ya pilipili au ni brand?

Kama ni brand basi usiseme unauza pilipili aina ya Neyer's

Kwasababu aina ya pilipili ni mfano- pilipili mbuzi, pilipili hoho etc. Sijawahi kusikia pilipili aina ya neyer's
Nayer ni brand mkuu.....mandiko la nauza pilipili aina ya Nayer wameidt mamods....Bandiko langu lilikuwa NAUZA PILIPILI
 
Hiyo Neyer's ni aina ya pilipili au ni brand?

Kama ni brand basi usiseme unauza pilipili aina ya Neyer's

Kwasababu aina ya pilipili ni mfano- pilipili mbuzi, pilipili hoho etc. Sijawahi kusikia pilipili aina ya neyer's
Vipi mkuu unataka ku- Double your appetite? Nikulete kabottle kamoja ni msisimko wa kitanzania kweli kweli
 
Back
Top Bottom