Nauza pilipili aina ya Nayer's

Nauza pilipili aina ya Nayer's

4c9426983b3ff81c9ba9d419adf97edb.jpg
DOUBLE YOUR APPETITE
 
Je,ina kibali cha mamlaka ya chakula na dawa (TFDA)?
Nilitaka kuuliza hilo pia.
Akishafanikiwa hapo ajitahidi kuisambaza zaidi ili iwafikie watu wengi zaidi.
 
Nimependa ulivyokuwa mkweli
Mkuu ndio mwanzo lazima changamoto na uchukue maoni ya wadau..nimeweka leo bandiko langu ila nimepewa vitu vingi na wanajamvi PM..mpaka ikifika friday bidhaa yangu itakuwa na muonekano mwingine, ila kwa quality ya product ipo vizur sana mtaani ni gumzo nimeileta hapa ili niokote ya huku na ya huku lengo nifike kuleeeeee kabisa...shukran kwa wote
 
391cea7b69273fca1a4bdd4241177109.jpg
500f84b86091100c5b551ea40dcb433d.jpg
3a7786c284e1ffa53765f78fc3546c8e.jpg
688cb0875f9af6a508aa7ba25065bea6.jpg
a4e91a39dd45ea0b7d4e16a6ac062909.jpg
99ac0200ced75eb9f07f2214326c97b0.jpg
Mchanganyiko wa matunda, tangawizi, vitunguu swaumu, vinegar....inapatikana ktk ujazo tofauti. Watu wa bar, restaurant, BabaQ n.k naweza kukuwekea ktk ujazo kulingana na maitaji yako kibiashara...nafanya delivery bure kwa Dar es salaam siku ya ijumaa na jumatatu...0653408957 na 0629565168
Japo sio mtumiaji wa "washawasha" aka 2nd 2nd au pilipili ila nichukue nafasi hii kukupongeza kwa utangazaji mzuri,unahamasisha na una good packaging, mpaka natamani kuonja
 
Je,ina kibali cha mamlaka ya chakula na dawa (TFDA)?
Mnatuzinguaga tu mavitu kibao feki na yamepitishwa na hao tfda yapo supermarket (artificial zote zina preservatives, etc), sasa huyu kakwambia kabisa kitu natural, na isitoshe ndio anaanza! Soon huo wimbo wa tfda tutaanza kuuskia hadi kwenye maandazi ya mama ntilie! Au kisa kuweka kwenye chupa? Au kuipa jina?
 
Japo sio mtumiaji wa "washawasha" aka 2nd 2nd au pilipili ila nichukue nafasi hii kukupongeza kwa utangazaji mzuri,unahamasisha na una good packaging, mpaka natamani kuonja
Shukrani sana mkuu...upendi kuwashwashwa eeh ....next week nakuletea ukwaju souse
 
Back
Top Bottom