Hii nyumba niiuza Tsh.42,000,000 ipo mbagara,chamanzi ni kabla ya kufika uwanja wa Azam Fc. nyumba iko sehemu nzuri ni hatua chache kutoka barabara kuu iendayo mbande au rufiji. nauri ni sh 800 kutoka kariakoo au posta mpya. nyumba ina vyumba 4 vya kulala na vitatu vipo auni . ina umeme maji yapo jirani. ndani kuna wapangaji tayari kwa anayetaka kuiona nipigie 0657 145555, ili niwasiliane na wa2 waliopanga ili wawepo na tupate nafasi ya kuiona ndani. asante