Bei ya Jumla ndio kiasi gani mkuu
Hatuwezi kununua ndoo 1 ya lita 20 kwa shilingi laki 3 za kitanzania
Kisa n transparent ama.?Hizo nyepesi
Kubebea zege changamotoKisa n transparent ama.?
Kazi ipo 😂Kubebea zege changamoto
Ila we jamaa 😀😀Hatuwezi kununua ndoo 1 ya lita 20 kwa shilingi laki 3 za kitanzania
Hiyo laki tatu labda alikuwa hajaedit ni 50k moja soma vizuri mkuuHatuwezi kununua ndoo 1 ya lita 20 kwa shilingi laki 3 za kitanzania
Yn ndoo moja n 50k 😳 c bora nilichotaka kubebea kwenye hy ndoo nibebe kwa mikonoHiyo laki tatu labda alikuwa hajaedit ni 50k moja soma vizuri mkuu