Nauza movies HD za 2012 (Arusha)

Nauza movies HD za 2012 (Arusha)

Sio vizuri kubana riziki za watu.Ukute ni bwana mdogo tu asiye na kazi sasa mnataka akaibe?Wewe kwakuwa una kijikazi chako ndio unajidai kuponda watu wanaojitahidi kujiingizia vipesa vya matumizi.Kama unahitaji hizo movies na una hela nyingi,fanya kama kumsaidia tu kijana wetu,atleast ameweza download na kuwa nazo.Je unajua amepitia shida gani mpaka kuzipata hizo movies zote?!!Tuacheni roho mbaya wabongo,kama wewe ni tajiri,saidia au kaa kimya tu.Jaribu usilete stress zako hapa jukwaani,sio uungwana!
 
Hzi ni challenge zko tu ila we kama unazo kuna wengne hawana wana hitji m hapa na find kitu chakuni kip busy kidogo sio kustay naku comment mashudu kweny threads za watu
 
By notifeki<br />
Mbona hizo kama za kwangu. Acha njaa dogo. Watu tumedownload ww unakopi unauza?
<br />
<br />
<br />
dogo analeta njaa, kama kuna mtu anazihitaji mimi zote hizo ninazo, anicheck nimpe, nipo dar
Kama ipo ipo tu so wpo wanao ni pm wana hitaji we uliyeshiba nice of you mind your biz achia thread wanao hitaji wata sema sio lazma
 
dogo analeta njaa, kama kuna mtu anazihitaji mimi zote hizo ninazo, anicheck nimpe, nipo dar

Umenena mkuu mi niko nje ya dar kwa sasa soon nikiludi nitakutafuta kiongozi ubarikiwe sana vijana wana njaaa sana lol
 
dogo utapata tu watu, achana na hao wabanaji,
wengine hatuna muda wa kusubiria kudownload mpaka movie imalize kujaa,
muhimu weka bei , watu walete external hd zao uwajazie,

Kama ipo ipo tu so wpo wanao ni pm wana hitaji we uliyeshiba nice of you mind your biz achia thread wanao hitaji wata sema sio lazma
 
Nipo Arusha kwa wale watakao hitaji bei maelewano tu. Zipo movie zakutosha naza 2013 pia nipo mbioni kuwa nazo soon. Ni pm kama utahitaji. Thankx mch
Mkuu mimi naweza kukupa zingine 720p, 1080 blueray na 3d bure kabisa ili ukuze biashara yako nipo dar, mpaka sasa nina kama TL 3 za movie na Series ndio usiseme, zinazoendelea na zilizokamilika.....mimi nakupa bure kabisa.
 
Umenena mkuu mi niko nje ya dar kwa sasa soon nikiludi nitakutafuta kiongozi ubarikiwe sana vijana wana njaaa sana lol

amebuni kitu cha kuweza kumuingiza fedha angalau ya kupunguza makali ya siku sasa unamwita ana njaa waTZ bana
 
Achana na hao wanaokuzengua......nieleweshe mwaya......hizo movie naweza kuziangalia kwenye screen...? Majina ya movie tafadhali......
Nakuuliza hivyo kwa sababu sijui zte nini......ila senema nataka......na nipo Chugga naweza kukuona saa yoyote kuanzia sasa....
 
dogo utapata tu watu, achana na hao wabanaji, <br />
wengine hatuna muda wa kusubiria kudownload mpaka movie imalize kujaa, <br />
muhimu weka bei , watu walete external hd zao uwajazie,<br />
<br />
By mceddy<br />
Kama ipo ipo tu so wpo wanao ni pm wana hitaji we uliyeshiba nice of you mind your biz achia thread wanao hitaji wata sema sio lazma
Thnkx for ur courage ila ukiona unafanya kitu bila challenge yoyote juwa kuna tatizo so ntapambana nazo tu pamoja sana bro :thumbup:🙂😱
 
aah achs izo we gawa muvi unauza hahahahaaaahaaha
 
basi anzisha thread yako andika "nagawa muvi bure kwa wakazi wa dar", na sio kurukia thread ya dogo,

mimi sijaharibu biashara ya mtu. nimejitolea bure movies kwa wakazi wa dar
 
how much is 1tera. au nikihitaji muvi zote hizo nalipa sh ngapi? nipo sirias. and how do i send my hard drive to you?
 
Back
Top Bottom