Nauza mdoli wa kuuzia nguo

Nauza mdoli wa kuuzia nguo

Queen___

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
214
Reaction score
224
Habari wana JF..
Nauza mdoli wa kudisplay nguo size 8. Ametumika 3months still new.. Anayehitaji ani pm.
 
Hapo ndo napata wasi wasi.. Ametumika lakini new??? (Amezaa lakini bikra) Haya napita tu
Mbona simple.... Umetumika 3months ila bado unaonekana mpya... It depends na utunzaji wa mtu.. Na upite salama mkuu
Habari wana JF..
Nauza mdoli wa kudisplay nguo size 8. Ametumika 3months still new.. Anayehitaji ani pm.
 
Mbona simple.... Umetumika 3months ila bado unaonekana mpya... It depends na utunzaji wa mtu.. Na upite salama mkuu
Labda ungesema still looks new. Maana i wonder vipi kinaweza kutumika na bado kikawa kipya???

Unaweza kuupload na picha tuone???
Thanks
 
Mbona simple.... Umetumika 3months ila bado unaonekana mpya... It depends na utunzaji wa mtu.. Na upite salama mkuu
kuna tofauti ya kua mpya na kuonekana mpya. still new and looks new kuna tofauti apo kaka
 
Du mdoli unauza, ni mmali yako,afu ttujePM kkufanya nini,hujasema bbeiuko wapi .....mmhni shida!
Habari wana JF..
Nauza mdoli wa kudisplay nguo size 8. Ametumika 3months still new.. Anayehitaji ani pm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom