Bendera ya Bati
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 279
- 363
Ndg wana JF,
Kwa heshima na taadhima, naomba kuujulisha umma wa Watanzania kuwa kuanzia leo nianzishe biashara ya kuuza mawazo kwa watanzania wenzangu pamoja na wageni juu nini mtu afanye for development sake.
Sasa nimeona sina budi nijiajiri ili niwe nawauzia bidhaa hii baada ya kufanya research na kuona watu wengi wana hela lakini hawana wazo sahihi wafanye biashara ipi ili kujitengenezea utajiri ama kipato cha ziada.
Bilionea raia wa China JACK MA aliwahi kusema "If you want to be rich do what the 99 percent don't.
Kwa mantiki hiyo basi ningependa anayehitaji nimuuzie wazo afanye nini kitu cha pekee ili apige hela anifaute PM. Kwa dokezo tu juu ya kukuonjesha machaguo ya nini ufanye ni kama ifuatavyo;
1. KUFUNGUA KAMPUNI YA KUOSHA MAITI(Omba tenda mahospitalini)
2.TENDA YA KUSUPPLY CHAKULA KWA MAHABUSU VITUO VYA POLISI(Fanya Mazungumzo na IGP, Wizara husika)Convising power needed
3. SHOE SHINER WA VIATU VYA WABUNGE PALE NJE YA VIWANJA VYA BUNGE DODOMA.Waheshimiwa hawana muda hawa wa kujibrushia viatu( ANGALIZO: VAA VIZURI PIGA ULIMI(TAI) WEKA BENCHI LA KUSUBILIA WATEJA KAMA LA CRDB, NMB WHATEVER THE CASE ILIMRADI LIWE SMART, WEKA MAJARIDA YA KIMATAIFA KWA AJILI YA WATEJA KIPITISHA MACHO...
5...…
The list continues as far as you contact me for bznez conversations
MY OFFER: Tshs.50,000/-Kwa wazo
50 Dollars for foreigners.
ANGALIZO: Wenye comment za kichawi hapa hamna nafasi, hii ni biashara ,tusiharibiane biashara hapa ala...
Kwa heshima na taadhima, naomba kuujulisha umma wa Watanzania kuwa kuanzia leo nianzishe biashara ya kuuza mawazo kwa watanzania wenzangu pamoja na wageni juu nini mtu afanye for development sake.
Sasa nimeona sina budi nijiajiri ili niwe nawauzia bidhaa hii baada ya kufanya research na kuona watu wengi wana hela lakini hawana wazo sahihi wafanye biashara ipi ili kujitengenezea utajiri ama kipato cha ziada.
Bilionea raia wa China JACK MA aliwahi kusema "If you want to be rich do what the 99 percent don't.
Kwa mantiki hiyo basi ningependa anayehitaji nimuuzie wazo afanye nini kitu cha pekee ili apige hela anifaute PM. Kwa dokezo tu juu ya kukuonjesha machaguo ya nini ufanye ni kama ifuatavyo;
1. KUFUNGUA KAMPUNI YA KUOSHA MAITI(Omba tenda mahospitalini)
2.TENDA YA KUSUPPLY CHAKULA KWA MAHABUSU VITUO VYA POLISI(Fanya Mazungumzo na IGP, Wizara husika)Convising power needed
3. SHOE SHINER WA VIATU VYA WABUNGE PALE NJE YA VIWANJA VYA BUNGE DODOMA.Waheshimiwa hawana muda hawa wa kujibrushia viatu( ANGALIZO: VAA VIZURI PIGA ULIMI(TAI) WEKA BENCHI LA KUSUBILIA WATEJA KAMA LA CRDB, NMB WHATEVER THE CASE ILIMRADI LIWE SMART, WEKA MAJARIDA YA KIMATAIFA KWA AJILI YA WATEJA KIPITISHA MACHO...
5...…
The list continues as far as you contact me for bznez conversations
MY OFFER: Tshs.50,000/-Kwa wazo
50 Dollars for foreigners.
ANGALIZO: Wenye comment za kichawi hapa hamna nafasi, hii ni biashara ,tusiharibiane biashara hapa ala...