Salaam Ndg,Jamaa,na Marafiki,Natangaza biashara ya matikiti maji yapo tayari shamba lipo !mwasonga,Wilaya ya kigamboni,hakuna tabu ya usafiri gari linaingia mpaka shamba ni karibu na barabara kabisa ile ya kwenda kiwanda cha cement,
Ukubwa wa eneo nusu eka,kuna matikiti makubwa 152 yenye kuweza kuuzwa bei 7000 na Mdogo 320 yenye uwezo wa kuuzw 5000 mpaka 4000,karibuni,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukubwa wa eneo nusu eka,kuna matikiti makubwa 152 yenye kuweza kuuzwa bei 7000 na Mdogo 320 yenye uwezo wa kuuzw 5000 mpaka 4000,karibuni,
Sent using Jamii Forums mobile app