MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,707
- 21,861
Ni heka mbili utakuwa una_share mpaka na rais mstaafu ndugu JK na kama wote tulivyosikia kwamba rais akistaafu alisema atarudi Msoga kuendelea na kilimo.
Basi hii ni nafasi nzuri yako ndugu mtanzania mwenzangu kuwa na access ya moja kwa moja na JK in your daily basis na pia kuweza kufanya vitu vidogo kama kusalimiana na mheshimiwa kila asubuhi.
Kama uko interested niquote hapo chini
Basi hii ni nafasi nzuri yako ndugu mtanzania mwenzangu kuwa na access ya moja kwa moja na JK in your daily basis na pia kuweza kufanya vitu vidogo kama kusalimiana na mheshimiwa kila asubuhi.
Kama uko interested niquote hapo chini