Nauza kiwanja Msoga, ni jirani na JK

Nauza kiwanja Msoga, ni jirani na JK

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,707
Reaction score
21,861
Ni heka mbili utakuwa una_share mpaka na rais mstaafu ndugu JK na kama wote tulivyosikia kwamba rais akistaafu alisema atarudi Msoga kuendelea na kilimo.
Basi hii ni nafasi nzuri yako ndugu mtanzania mwenzangu kuwa na access ya moja kwa moja na JK in your daily basis na pia kuweza kufanya vitu vidogo kama kusalimiana na mheshimiwa kila asubuhi.
Kama uko interested niquote hapo chini
 
Huna kiwanja sehemu nyingine zaidi ya hiyo.........?.......nilikua nahitaji lakini hapo hapana........
 
Ni heka mbili utakuwa una_share mpaka na rais mstaafu ndugu JK na kama wote tulivyosikia kwamba rais akistaafu alisema atarudi Msoga kuendelea na kilimo.
Basi hii ni nafasi nzuri yako ndugu mtanzania mwenzangu kuwa na access ya moja kwa moja na JK in your daily basis na pia kuweza kufanya vitu vidogo kama kusalimiana na mheshimiwa kila asubuhi.
Kama uko interested niquote hapo chini


Hata unipe bure sitokichukua hata unipe na pesa juu bora ubaki nacho au muuzie nape
 
hv unakiwanja au unamnadi jk maana maudhui ya kiwanja umeyaacha kabsa
 
jk atakuwa amefuria, so ataniomba chunvi na kiberiti.so sitaki kukaa naye karibu.
 
Hawakawii kusema umevamia eneo la rais mstaafu
 
Back
Top Bottom