kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,337
- 7,756
Hapana huyo ni shemegi yenu nampenda sana ndio nimeweka hapo niwe namuona kila maraDaah,we ndo huyo kwa Avatar?
Hapana huyo ni shemegi yenu nampenda sana ndio nimeweka hapo niwe namuona kila maraDaah,we ndo huyo kwa Avatar?
Kupata msaada mkuu utapata shida sana,badilisha hiyo avatar yako kwanza maana inaonyesha kama unatania...Jamani natafuta soko la kuuza karanga
Msaada wanaojua bei nzuri ya Karanga kwa soko la sasa ni shingapi? na Msaada mwingine kunifanyia connection na Diamond Karanga nimuuzie hizi guniaa
Ni kweli sio natania labda avatar inachangia kuonekana kama nazingua lakin huo mzigo ninao na upo storeKupata msaada mkuu utapata shida sana,badilisha hiyo avatar yako kwanza maana inaonyesha kama unatania...