mhuni
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 955
- 592
ahaaa ungeuza kweli
ahaaa ungeuza kweli
Hapana ningekupa kama zawadi tena toka moyoniahaaa ungeuza kweli
Jamani mwenye kuhitaji ID yangu ya Mudawote naiuza. Masharti, atakayeinunua anatakiwa aendeleze mapambano zidi ya ukawa/chadema na awe mtiifu kwa CCM na viongozi wake.
Nakaribisha wanunuzi
Watajuajesheria za jf haziruhusu kuuza ID... Ukijulikana hiyo ID itafungiwa na kuifungua inahitaji pesa ndefu...