Kwanza usitudanganye mitandao ya bongo haina 4g
Huyo naona alikurupuka kukoment akiwa usingiziniSmile ni mtandao wa wapi?
Kwanza usitudanganye mitandao ya bongo haina 4g
Smile ni mtandao wa wapi?
Hello Guys......nauza simu aina ya HTC MYTOUCH 4G Mpya imetumika siku 1 tu..yaani nimeletewa Juzi mpya iko kwa box yake
Ina suport social media zote including whatsapp..viber..Skype..tango..line..instagram..etc
Na iko faster sana maana inatumia 4G..ina front camera na back camera inshort iko poa with no any scratches
Bei ni 350,000
Sababu ya kuiuza nna shida na iyo pesa na Sina alternative ya kupata pesa zaidi ya kuiuza hii simu
Ahsante[/QUOT
ACHA WIZI
Hello Guys......nauza simu aina ya HTC MYTOUCH 4G Mpya imetumika siku 1 tu..yaani nimeletewa Juzi mpya iko kwa box yake
Ina suport social media zote including whatsapp..viber..Skype..tango..line..instagram..etc
Na iko faster sana maana inatumia 4G..ina front camera na back camera inshort iko poa with no any scratches
Bei ni 350,000
Sababu ya kuiuza nna shida na iyo pesa na Sina alternative ya kupata pesa zaidi ya kuiuza hii simu
Ahsante[/QUOT
ACHA WIZI
Sivyema kuharibu biashara za watu
chukua 200000