Habari za leo,wakuu!
Katika kupitia pitia magazeti leo,kuna gazeti moja limemnukuu N/W Ardhi na Maendeleo ya makazi kuwa majengo yote yaliyojengwa kando kando ya mito mjini Arusha yabomolewe akilitolea mfano naura spring hotel iliyopo kandokando ya mto themi.Hili jambo lishapigiwa kelele sana na wadau wa mazingira bila kupatiwa suluhisho.
Je,matamshi au maagizo haya ya mh.N/W kuitaka NEMC kufika Arusha ni nguvu ya soda au kuna nini nyuma ya pazia na je,walikuwa wapi (serikali kuu na mamlaka zake kuanzia mtaa,kata,wilaya,mkoa hadi taifa) hadi lile jengo kusimama vile pale Sanawari-Arusha ?
Angalizo: Positive discussion na sio siasa wala majungu,ipotezeee,kama hauna la kuchangia.
Nawasilisha
Katika kupitia pitia magazeti leo,kuna gazeti moja limemnukuu N/W Ardhi na Maendeleo ya makazi kuwa majengo yote yaliyojengwa kando kando ya mito mjini Arusha yabomolewe akilitolea mfano naura spring hotel iliyopo kandokando ya mto themi.Hili jambo lishapigiwa kelele sana na wadau wa mazingira bila kupatiwa suluhisho.
Je,matamshi au maagizo haya ya mh.N/W kuitaka NEMC kufika Arusha ni nguvu ya soda au kuna nini nyuma ya pazia na je,walikuwa wapi (serikali kuu na mamlaka zake kuanzia mtaa,kata,wilaya,mkoa hadi taifa) hadi lile jengo kusimama vile pale Sanawari-Arusha ?
Angalizo: Positive discussion na sio siasa wala majungu,ipotezeee,kama hauna la kuchangia.
Nawasilisha