Nauona mwisho wa CCM

Nauona mwisho wa CCM

Mandesy

Senior Member
Joined
Mar 22, 2018
Posts
115
Reaction score
125
Tukiwa bado tunatafakari mabadiliko ya mara kwa mara ya baraza la mawaziri wa serikali ya awamu ya tano, hali inaonekana sio shwali ndani ya chama hicho.

Nasema hali sio shwari, kwani kila mtu amekuwa na hofu kubwa, hasa wale wadadisi ndani ya chama. Inavyoonekana kwamba sasa hivi JPM ameamua kuwafunga midomo CCM na yeyote atakayeibuka kusema kitu ambacho ni tofauti na fikra za mwenyekiti wa chama na Musiba et al, basi akumbuke kwamba, nafasi yake ndani ya chama itakuwa ni finyu sana.

  • Kuwavuruga vijana
Serikali zote, tangu ile ya kwanza, zimekuwa zikiwaona vijana kuwa ndio hazina ya chama na wamekuwa wakisaidia kuongeza ushawishi kwa vijana wenzao ambao hawako karibu na chama. Hatua hii imesababisha kujenga chama kwa kutumia imani ya vijana ambao ni zaidi ya asilimia 70 ya wapiga kura wote Tanzania.

Ndio maana, leo utaowaona akina George Kahama, Malechela, Mkuchika, Lukuvi ambao miaka ya 80 walikuwa vijana wakiendelea kuhudumu serikalini toka serikali moja kwenda nyingine na wamekuwa wakiheshimiwa hadi hivi leo.

Leo hii kuwavuruga Nape, Mwigulu, Makamba nk, ambao ni miongoni mwa vijana wenye ushawishi CCM, sio kitu kizuri na kinaweza kuharibu afya ya chama.



  • Kuwavuruga wazee
Tangu serikali ya tano ianze kutawala, wazee wamekuwa hawana chao. Hawana ushawishi tena na kila wakijaribu kusema kitu, basi wanaambiwa wanawashwa washwa. Tumeona baadhi wakipewa onyo na mwenyekiti kuwa wakae kimya. Huu sio ustaarabu kabisa ndani ya chama kwani historia inawanyonya awamu ya tano.

Hivi majuzi, tumeona bwana anayejiita Musiba akiendelea kuwadharirisha wazee wa chama kwa kuwakashifu hali iliyosababisha wazee hao kutoka hadharani na tamko ambalo limesababisha mjadala mkubwa miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe kwamba, mwaka 2015 kwenye sakata la kura za maoni CCM, hakuna aliyejua kwamba JPM atapenya kwani mchuano ulikuwa mkali sana. Bila wazee wa CCM, basi JPM asingepenya hata nafasi tano..leo hii huenda Membe, Makamba, ama wale akina mama wa Zanzibar ana Lowasa, mmoja wao angekuwa rais.



  • Kuwavuruga watanzania


Maisha ya watanzania yamebadilika sana tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani. Njia kuu za uchumi zimeharibiwa na fedha zote zimeenda kwenye mikondo ya serikali, ambayo kwa mbwembwe zinaishia kununua ndege, madaraja nk, vitu ambavyo havijengi kabisa social capital. Tujifunze kwa Nigeria.. imeendelea sana lakini gap la maskini na tajiri ni kubwa sana hali inayosababisha wanigeria wengi kukosa imani na nchi yao na wengine kukimbia nchi.

  • Kuleta ukabila
Kuna ukabila sana serikali hii ya awamu ya tano. Ukiangalia safu za wakubwa, wengi wao wanatoka kanda ya ziwa, na wengi ni watu wa karibu sana na Rais ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa ni dhaifu katika kushughulikia maslahi ya watanzania na wamebaki kuimba mapambio kwa JPM.. kusifia kusiko na mwisho.



Kwa sababu hizi nne, ninaona muelekeo wa CCM sasa huenda ukawa mbaya kwani CCM wanajulikana jinsi wanavyozika vichwa vyao ardhini na pale wanapokugeuka hutaamini kwamba ndio wao



Marijani Kyomo

Maruku, Kagera
 
mwenyekiti anajiamini pole kwa hofu isiyo na tija
 
Tukiwa bado tunatafakari mabadiliko ya mara kwa mara ya baraza la mawaziri wa serikali ya awamu ya tano, hali inaonekana sio shwali ndani ya chama hicho.

Nasema hali sio shwari, kwani kila mtu amekuwa na hofu kubwa, hasa wale wadadisi ndani ya chama. Inavyoonekana kwamba sasa hivi JPM ameamua kuwafunga midomo CCM na yeyote atakayeibuka kusema kitu ambacho ni tofauti na fikra za mwenyekiti wa chama na Musiba et al, basi akumbuke kwamba, nafasi yake ndani ya chama itakuwa ni finyu sana.

  • Kuwavuruga vijana
Serikali zote, tangu ile ya kwanza, zimekuwa zikiwaona vijana kuwa ndio hazina ya chama na wamekuwa wakisaidia kuongeza ushawishi kwa vijana wenzao ambao hawako karibu na chama. Hatua hii imesababisha kujenga chama kwa kutumia imani ya vijana ambao ni zaidi ya asilimia 70 ya wapiga kura wote Tanzania.

Ndio maana, leo utaowaona akina George Kahama, Malechela, Mkuchika, Lukuvi ambao miaka ya 80 walikuwa vijana wakiendelea kuhudumu serikalini toka serikali moja kwenda nyingine na wamekuwa wakiheshimiwa hadi hivi leo.

Leo hii kuwavuruga Nape, Mwigulu, Makamba nk, ambao ni miongoni mwa vijana wenye ushawishi CCM, sio kitu kizuri na kinaweza kuharibu afya ya chama.



  • Kuwavuruga wazee
Tangu serikali ya tano ianze kutawala, wazee wamekuwa hawana chao. Hawana ushawishi tena na kila wakijaribu kusema kitu, basi wanaambiwa wanawashwa washwa. Tumeona baadhi wakipewa onyo na mwenyekiti kuwa wakae kimya. Huu sio ustaarabu kabisa ndani ya chama kwani historia inawanyonya awamu ya tano.

Hivi majuzi, tumeona bwana anayejiita Musiba akiendelea kuwadharirisha wazee wa chama kwa kuwakashifu hali iliyosababisha wazee hao kutoka hadharani na tamko ambalo limesababisha mjadala mkubwa miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe kwamba, mwaka 2015 kwenye sakata la kura za maoni CCM, hakuna aliyejua kwamba JPM atapenya kwani mchuano ulikuwa mkali sana. Bila wazee wa CCM, basi JPM asingepenya hata nafasi tano..leo hii huenda Membe, Makamba, ama wale akina mama wa Zanzibar ana Lowasa, mmoja wao angekuwa rais.



  • Kuwavuruga watanzania


Maisha ya watanzania yamebadilika sana tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani. Njia kuu za uchumi zimeharibiwa na fedha zote zimeenda kwenye mikondo ya serikali, ambayo kwa mbwembwe zinaishia kununua ndege, madaraja nk, vitu ambavyo havijengi kabisa social capital. Tujifunze kwa Nigeria.. imeendelea sana lakini gap la maskini na tajiri ni kubwa sana hali inayosababisha wanigeria wengi kukosa imani na nchi yao na wengine kukimbia nchi.

  • Kuleta ukabila
Kuna ukabila sana serikali hii ya awamu ya tano. Ukiangalia safu za wakubwa, wengi wao wanatoka kanda ya ziwa, na wengi ni watu wa karibu sana na Rais ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa ni dhaifu katika kushughulikia maslahi ya watanzania na wamebaki kuimba mapambio kwa JPM.. kusifia kusiko na mwisho.



Kwa sababu hizi nne, ninaona muelekeo wa CCM sasa huenda ukawa mbaya kwani CCM wanajulikana jinsi wanavyozika vichwa vyao ardhini na pale wanapokugeuka hutaamini kwamba ndio wao



Marijani Kyomo

Maruku, Kagera

Ilishakufa mkuu!

Tunasubiri wakubali maana wapo kwenye denial moja kali sana!
 
Tukiwa bado tunatafakari mabadiliko ya mara kwa mara ya baraza la mawaziri wa serikali ya awamu ya tano, hali inaonekana sio shwali ndani ya chama hicho.

Nasema hali sio shwari, kwani kila mtu amekuwa na hofu kubwa, hasa wale wadadisi ndani ya chama. Inavyoonekana kwamba sasa hivi JPM ameamua kuwafunga midomo CCM na yeyote atakayeibuka kusema kitu ambacho ni tofauti na fikra za mwenyekiti wa chama na Musiba et al, basi akumbuke kwamba, nafasi yake ndani ya chama itakuwa ni finyu sana.

  • Kuwavuruga vijana
Serikali zote, tangu ile ya kwanza, zimekuwa zikiwaona vijana kuwa ndio hazina ya chama na wamekuwa wakisaidia kuongeza ushawishi kwa vijana wenzao ambao hawako karibu na chama. Hatua hii imesababisha kujenga chama kwa kutumia imani ya vijana ambao ni zaidi ya asilimia 70 ya wapiga kura wote Tanzania.

Ndio maana, leo utaowaona akina George Kahama, Malechela, Mkuchika, Lukuvi ambao miaka ya 80 walikuwa vijana wakiendelea kuhudumu serikalini toka serikali moja kwenda nyingine na wamekuwa wakiheshimiwa hadi hivi leo.

Leo hii kuwavuruga Nape, Mwigulu, Makamba nk, ambao ni miongoni mwa vijana wenye ushawishi CCM, sio kitu kizuri na kinaweza kuharibu afya ya chama.



  • Kuwavuruga wazee
Tangu serikali ya tano ianze kutawala, wazee wamekuwa hawana chao. Hawana ushawishi tena na kila wakijaribu kusema kitu, basi wanaambiwa wanawashwa washwa. Tumeona baadhi wakipewa onyo na mwenyekiti kuwa wakae kimya. Huu sio ustaarabu kabisa ndani ya chama kwani historia inawanyonya awamu ya tano.

Hivi majuzi, tumeona bwana anayejiita Musiba akiendelea kuwadharirisha wazee wa chama kwa kuwakashifu hali iliyosababisha wazee hao kutoka hadharani na tamko ambalo limesababisha mjadala mkubwa miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe kwamba, mwaka 2015 kwenye sakata la kura za maoni CCM, hakuna aliyejua kwamba JPM atapenya kwani mchuano ulikuwa mkali sana. Bila wazee wa CCM, basi JPM asingepenya hata nafasi tano..leo hii huenda Membe, Makamba, ama wale akina mama wa Zanzibar ana Lowasa, mmoja wao angekuwa rais.



  • Kuwavuruga watanzania


Maisha ya watanzania yamebadilika sana tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani. Njia kuu za uchumi zimeharibiwa na fedha zote zimeenda kwenye mikondo ya serikali, ambayo kwa mbwembwe zinaishia kununua ndege, madaraja nk, vitu ambavyo havijengi kabisa social capital. Tujifunze kwa Nigeria.. imeendelea sana lakini gap la maskini na tajiri ni kubwa sana hali inayosababisha wanigeria wengi kukosa imani na nchi yao na wengine kukimbia nchi.

  • Kuleta ukabila
Kuna ukabila sana serikali hii ya awamu ya tano. Ukiangalia safu za wakubwa, wengi wao wanatoka kanda ya ziwa, na wengi ni watu wa karibu sana na Rais ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa ni dhaifu katika kushughulikia maslahi ya watanzania na wamebaki kuimba mapambio kwa JPM.. kusifia kusiko na mwisho.



Kwa sababu hizi nne, ninaona muelekeo wa CCM sasa huenda ukawa mbaya kwani CCM wanajulikana jinsi wanavyozika vichwa vyao ardhini na pale wanapokugeuka hutaamini kwamba ndio wao



Marijani Kyomo

Maruku, Kagera
Endelea kupiga ramli
 
Tukiwa bado tunatafakari mabadiliko ya mara kwa mara ya baraza la mawaziri wa serikali ya awamu ya tano, hali inaonekana sio shwali ndani ya chama hicho.

Nasema hali sio shwari, kwani kila mtu amekuwa na hofu kubwa, hasa wale wadadisi ndani ya chama. Inavyoonekana kwamba sasa hivi JPM ameamua kuwafunga midomo CCM na yeyote atakayeibuka kusema kitu ambacho ni tofauti na fikra za mwenyekiti wa chama na Musiba et al, basi akumbuke kwamba, nafasi yake ndani ya chama itakuwa ni finyu sana.

  • Kuwavuruga vijana
Serikali zote, tangu ile ya kwanza, zimekuwa zikiwaona vijana kuwa ndio hazina ya chama na wamekuwa wakisaidia kuongeza ushawishi kwa vijana wenzao ambao hawako karibu na chama. Hatua hii imesababisha kujenga chama kwa kutumia imani ya vijana ambao ni zaidi ya asilimia 70 ya wapiga kura wote Tanzania.

Ndio maana, leo utaowaona akina George Kahama, Malechela, Mkuchika, Lukuvi ambao miaka ya 80 walikuwa vijana wakiendelea kuhudumu serikalini toka serikali moja kwenda nyingine na wamekuwa wakiheshimiwa hadi hivi leo.

Leo hii kuwavuruga Nape, Mwigulu, Makamba nk, ambao ni miongoni mwa vijana wenye ushawishi CCM, sio kitu kizuri na kinaweza kuharibu afya ya chama.



  • Kuwavuruga wazee
Tangu serikali ya tano ianze kutawala, wazee wamekuwa hawana chao. Hawana ushawishi tena na kila wakijaribu kusema kitu, basi wanaambiwa wanawashwa washwa. Tumeona baadhi wakipewa onyo na mwenyekiti kuwa wakae kimya. Huu sio ustaarabu kabisa ndani ya chama kwani historia inawanyonya awamu ya tano.

Hivi majuzi, tumeona bwana anayejiita Musiba akiendelea kuwadharirisha wazee wa chama kwa kuwakashifu hali iliyosababisha wazee hao kutoka hadharani na tamko ambalo limesababisha mjadala mkubwa miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe kwamba, mwaka 2015 kwenye sakata la kura za maoni CCM, hakuna aliyejua kwamba JPM atapenya kwani mchuano ulikuwa mkali sana. Bila wazee wa CCM, basi JPM asingepenya hata nafasi tano..leo hii huenda Membe, Makamba, ama wale akina mama wa Zanzibar ana Lowasa, mmoja wao angekuwa rais.



  • Kuwavuruga watanzania


Maisha ya watanzania yamebadilika sana tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani. Njia kuu za uchumi zimeharibiwa na fedha zote zimeenda kwenye mikondo ya serikali, ambayo kwa mbwembwe zinaishia kununua ndege, madaraja nk, vitu ambavyo havijengi kabisa social capital. Tujifunze kwa Nigeria.. imeendelea sana lakini gap la maskini na tajiri ni kubwa sana hali inayosababisha wanigeria wengi kukosa imani na nchi yao na wengine kukimbia nchi.

  • Kuleta ukabila
Kuna ukabila sana serikali hii ya awamu ya tano. Ukiangalia safu za wakubwa, wengi wao wanatoka kanda ya ziwa, na wengi ni watu wa karibu sana na Rais ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa ni dhaifu katika kushughulikia maslahi ya watanzania na wamebaki kuimba mapambio kwa JPM.. kusifia kusiko na mwisho.



Kwa sababu hizi nne, ninaona muelekeo wa CCM sasa huenda ukawa mbaya kwani CCM wanajulikana jinsi wanavyozika vichwa vyao ardhini na pale wanapokugeuka hutaamini kwamba ndio wao



Marijani Kyomo

Maruku, Kagera
Naona CCM itaimarika sababu inajishape from time to time na hicho ndio muhimu sana haijalishi how too big the Organization is most important is adoptabilities to changing environments ndio guarantee ya sustainable survival kwa hiyo kama unasubiri CCM kufa sababu ya hizi current frictions ni sawa na fisi kumfuatilia mtu nyuma akidhani mkono utadondoka
 
Kiufupi hakuna Chama hapo, kwa sasa kila mtu na Kabila lake, na koo yake, na ndivyo anavyotufundisha Mwenyekiti. Chama kitapungua nguvu sana 2020. Watanzania kwa sasa wanaangalia tu macho maana hawana Maisha, hawana Mikia. Inaitwa pambana kivyako.
 
Chama hakitakufa sasa hivi. Lakini hizo chuki na hasira zinazojengwa zitasababisha baadhi ya walio ndani kukihujumu. Tutegemee kuona kutumbuliwa kukiendelea (tena kwa kasi)
 
Hiki Chama hakifi maana kimejaa wanafiki, waongo na wachumia tumbo. Infact rafu hizi ni jadi yao. Wengi wao wanafurahia wanavyoteswa baadhi ya watu maana ndio muda wao kukaba nafasi na kufaidi mema ya Nchi. Usikute hii michezo anaifanya Lowassa, Rostam na kundi lao. Wanalipiza kisasi in style
 
Upinzani ulichezea shilingi chooni wakati wa mrema na wakati wa Dr Slaa.Kwa kumwingiza Lowasa .Enzi hizo hazirudi tena



CCM fwata upepo ata hamjui mkae upande gani kawavuruga kweli kweli hoja hamna tena zaidi ya vijembe tu ndo mlichobakiza.
 
CCM IPO VILE VILE WANACCM MAFISADI NDIO HUPOTEA

Safari ya jehanamu ndiyo imeshaanza hiyo! Hadi kufikia 2030, ccm itakua ni historia kwa vizazi vya wakati huo kama ilivyo kwa TANU na ASP.
 
Tuunge mkono juhudi za muheshiwa rais. Mana chama kilipotea . Hakika tusinge pata jembe hichi chama kilielekea kuwa cha familia fulani.
 
Ccm bila unafiki,usaliti hakikamiliki subiri 2020 uone mambo hapa bado..
 
Tukiwa bado tunatafakari mabadiliko ya mara kwa mara ya baraza la mawaziri wa serikali ya awamu ya tano, hali inaonekana sio shwali ndani ya chama hicho.

Nasema hali sio shwari, kwani kila mtu amekuwa na hofu kubwa, hasa wale wadadisi ndani ya chama. Inavyoonekana kwamba sasa hivi JPM ameamua kuwafunga midomo CCM na yeyote atakayeibuka kusema kitu ambacho ni tofauti na fikra za mwenyekiti wa chama na Musiba et al, basi akumbuke kwamba, nafasi yake ndani ya chama itakuwa ni finyu sana.

  • Kuwavuruga vijana
Serikali zote, tangu ile ya kwanza, zimekuwa zikiwaona vijana kuwa ndio hazina ya chama na wamekuwa wakisaidia kuongeza ushawishi kwa vijana wenzao ambao hawako karibu na chama. Hatua hii imesababisha kujenga chama kwa kutumia imani ya vijana ambao ni zaidi ya asilimia 70 ya wapiga kura wote Tanzania.

Ndio maana, leo utaowaona akina George Kahama, Malechela, Mkuchika, Lukuvi ambao miaka ya 80 walikuwa vijana wakiendelea kuhudumu serikalini toka serikali moja kwenda nyingine na wamekuwa wakiheshimiwa hadi hivi leo.

Leo hii kuwavuruga Nape, Mwigulu, Makamba nk, ambao ni miongoni mwa vijana wenye ushawishi CCM, sio kitu kizuri na kinaweza kuharibu afya ya chama.



  • Kuwavuruga wazee
Tangu serikali ya tano ianze kutawala, wazee wamekuwa hawana chao. Hawana ushawishi tena na kila wakijaribu kusema kitu, basi wanaambiwa wanawashwa washwa. Tumeona baadhi wakipewa onyo na mwenyekiti kuwa wakae kimya. Huu sio ustaarabu kabisa ndani ya chama kwani historia inawanyonya awamu ya tano.

Hivi majuzi, tumeona bwana anayejiita Musiba akiendelea kuwadharirisha wazee wa chama kwa kuwakashifu hali iliyosababisha wazee hao kutoka hadharani na tamko ambalo limesababisha mjadala mkubwa miongoni mwa watanzania.

Ikumbukwe kwamba, mwaka 2015 kwenye sakata la kura za maoni CCM, hakuna aliyejua kwamba JPM atapenya kwani mchuano ulikuwa mkali sana. Bila wazee wa CCM, basi JPM asingepenya hata nafasi tano..leo hii huenda Membe, Makamba, ama wale akina mama wa Zanzibar ana Lowasa, mmoja wao angekuwa rais.



  • Kuwavuruga watanzania


Maisha ya watanzania yamebadilika sana tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani. Njia kuu za uchumi zimeharibiwa na fedha zote zimeenda kwenye mikondo ya serikali, ambayo kwa mbwembwe zinaishia kununua ndege, madaraja nk, vitu ambavyo havijengi kabisa social capital. Tujifunze kwa Nigeria.. imeendelea sana lakini gap la maskini na tajiri ni kubwa sana hali inayosababisha wanigeria wengi kukosa imani na nchi yao na wengine kukimbia nchi.

  • Kuleta ukabila
Kuna ukabila sana serikali hii ya awamu ya tano. Ukiangalia safu za wakubwa, wengi wao wanatoka kanda ya ziwa, na wengi ni watu wa karibu sana na Rais ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa ni dhaifu katika kushughulikia maslahi ya watanzania na wamebaki kuimba mapambio kwa JPM.. kusifia kusiko na mwisho.



Kwa sababu hizi nne, ninaona muelekeo wa CCM sasa huenda ukawa mbaya kwani CCM wanajulikana jinsi wanavyozika vichwa vyao ardhini na pale wanapokugeuka hutaamini kwamba ndio wao



Marijani Kyomo

Maruku, Kagera
CCM haifi ndg kama ungekuwa na akili kidogo tu mwaka 1995 wakati Mhe. Mrema alivyohama ungeweza kujua CCM inakufa
 
Back
Top Bottom