Naunga mkono hoja ya Oscar Oscar

Naunga mkono hoja ya Oscar Oscar

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,990
Reaction score
12,019
Wabongo wana roho mbaya sana makazini no wonder niliacha kazi sababu ya majungu nikaanzisha biashara zangu!
Screenshot_20250828_223528_Instagram.jpg
 
Hakuna anayeweza kukushambulia kama hawakujui. Hakikisha wanachokijua kuhusu wewe ni 1%.

Ndio maana makombora ya houthi Israel yanatua hovyohovyo maana hawajui target sahihi ya kushambulia.
 
Hakuna anayeweza kukushambulia kama hawakujui. Hakikisha wanachokijua kuhusu wewe ni 1%.

Ndio maana makombora ya houthi Israel yanatua hovyohovyo maana hawajui target sahihi ya kushambulia.
Sasa ukiweka mchele peupe kuku wanadonoa wote
 
Ilitakiwa iwe na marafiki wengi zaidi kuliko nyumbani mtu anakoishi
Lakini huko ndo kunaongoza kuwa na maadui. Mtanzania anapenda sana kuona mwenzake anateseka. Na usiombe ukawa na kakipato kanene-nene utachukiwa hata na ndugu. Tuna roho mbaya sana majority of us!!! ndio sababu ya matajiri kuchukiwa!
 
Ni changamoto sana ni unafiki kwa wingi na mashindano.
Kuna unafiki mkubwa sana huko makazini majitu kusagiana kunguni hayaoni kazi...ukiyaangalia usoni utadhani jitu jema mcha Mungu kumbe lina roho MBAYA vibaya mno SHETANI akasome!!!
 
Back
Top Bottom