naumwa wakuu!

jamiif

JF-Expert Member
Apr 30, 2012
2,413
990
habarini za leo ndugu zangu!
leo sijaamka vzr kabisa naumwa nina malaria na tonsils juu..hapa nasikia baridi sana na kichwa kinauma sana. Natamani kusoma posts za ndugu zangu humu ila nasoma kwa tabu. haya ndugu zangu kila la kheri ngoja niendele mdogomdogo. Tupo pamoja!!
 
Ugua pole mwaya, umemwona daktari lakini?malaria haikubaliki....
 
Pole sana,natumai umetumia dawa baada ya kuonana na daktari,Mungu atakusaidia utapona.
 

Pole kwa kupatwa na ugonjwa, zingatia maelezo ya utabibu utakuwa sawa tu...
 

Hizo tonsils itakuwa vema ukapata na kipimo kikubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…