naumwa wakuu!

habarini za leo ndugu zangu!
leo sijaamka vzr kabisa naumwa nina malaria na tonsils juu..hapa nasikia baridi sana na kichwa kinauma sana. Natamani kusoma posts za ndugu zangu humu ila nasoma kwa tabu. haya ndugu zangu kila la kheri ngoja niendele mdogomdogo. Tupo pamoja!!
Pole sana jamiif
Ugua pole utapona soon!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom