Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,415
- 4,869
leo unaendeleaje?amina mkuu nashukuru sana!
leo unaendeleaje?amina mkuu nashukuru sana!
Pole sana jamiifhabarini za leo ndugu zangu!
leo sijaamka vzr kabisa naumwa nina malaria na tonsils juu..hapa nasikia baridi sana na kichwa kinauma sana. Natamani kusoma posts za ndugu zangu humu ila nasoma kwa tabu. haya ndugu zangu kila la kheri ngoja niendele mdogomdogo. Tupo pamoja!!
asante my dear leo namshukuru Mungu nimeamka vzr kdg...pole zenu zinanipa nguvu na faraja kusema ukweli...