Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 314
kweli mwanamke akipenda anapenda vibaya, yaani mwaka na nusu bado ulikuwa unamngoja arudi, pole sana jaribu kukubali situation, tafuta mwingine.
pole sana kwa yaliyo kusibu mrembo..
cha muhim cool down kwanza maana inaelekea una speed saana ya kumaliza hili swala..
kikubwa tambua kwamba limeshatokea na kubaliana na matokeo..kama ameshafikia hatua ya kuoa jua kashagive up na wewe na hauna thaman tena maisha mwake..
pia waweza badilisha mfumo wa maisha na jiamin na kujiheahim maana wanaume wako weng huwez kukosa wa kukuoa kama una maadili mazuri..
pia iwe fundisho yaan ukiwa kweny deep relationship usikubal kujiingiza kweny mazingira ambayo mwenzio kwa namna yeyote atahis una mdanganya..
mwisho huyo jamaa ako inaelekea uwezo wake wa akil na wakhpambanua mambo ni mdogo maana kuambiwa tuu kua wewe unatoka na mbaba flan sio kigezo cha kukuacha ila angetakiwa kufanya uchunguz yeye kama yeye na sio kuambiwa kwa hiyo hakufai atakuja kukupa shida huko mbeleni..
asante.....
Wewe sio wa kwanza kupatwa na mambo kama hayo. Wapo walioachwa tena kwa kutukanwa na kudharauliwa, wapo walioondokewa na wapendwa wao na wakavumilia wakasahau. Chukulia hayo ni mapito na mitihan......
jaribu kumwita jamaa umweleze ya moyon atakupa hata nafas ya kuwa small house
kwa hio anataka uendekwenye harusi yake ama vipi?
pleasego there, utaishia huku wenzio waki !!!
kitendo chawako, ni dhahiri kuwa alidhamiria kukuacha makusudi ili akaoe kwingine...
usishangae ukienda huko ukaishia......
Wewe ni msiri ambao haukusaidii kitu. Mfano ulipoenda kuonana na huyo jamaa ili akupe hela hukumwambia mpz wako ndio maana hakukuelewa laiti ungemwambia isingekuwa hivyo.
Tulia mpz achana nae na wala kwenye harusi usiende hana mpz mema nawe.
Usijilaumu coz uwezi jua km ungeolewa nawe kingetokea nin?
Maamuzi sahihi ni yale ambayo baada ya maamuzi unakuwa salama km ulivyo salama saaa.
Kua na moyo wa subiraHabari zenu wana MMU!
Nilikua na bf wangu tulianza naye mahusiano 2010 bahati mbaya tulikua tukigombana mara nyingi kwasababu yeye alikua anaamini mimi nina michepuko( jambo ambalo halikuwahi kuwa la kweli). Siku moja( miaka ishapita sasa) nikakutana na a friend sehemu. Tulikutana kwa nia njema ili anikabidhi hela flani sema akachelewa kufika ikapelekea mimi kusubiri hapo mpaka giza. Anyways jamaa alikuja akanikabidhi mzigo huo, kila mmoja akamalizia kinywaji chake na kila mtu akaenda na njia zake. Bahati mbaya sana siku hii hii kuna mtu wa karibu wa huyo bf wangu aliniona( ndio alivyonambia) lakini ms aliyopeleka kwa mshikaji ni kwamba nipikuwa mahala pale na sugadaddy ambaye tulikuwa tukipapasana hadharani na mwisho wa siku tukaondoka na gari lake. Dah hii ilinistua haswa sababu kweli nilikwenda mahala pale na siwezagi kusema uongo. Nilijitajidi kumweleza jamaa hakunielewa sanasana akanitusi sana na kunambia tayari ana mtu na kwamba mi nayeye basi. Niliumia sana sababu kama ilipaswa tuachane basi ningependa yaishe kwa jinsi ya tofauti. Nami nikaona haviwezekani nikakubali yaishe na mawasiliano nikakata.
Anyhow habari yenyewe ni hii...juzi kati hapa kanitumia ms kuwa anaoa na kwamba angependa nishiriki. Niliumia sana ikabidi kuonana hadi na wachungaji nipate maombi na faraja. Niliumia mno zaidi ya kipindi alichoniacha ambapo ni zaidi ya mwaka na nusu sasa. Nakosa raha sana, ninapatwa baridi, hata sielewi naumwa wapi ila naumwa tuu dah! Najikuta nipo kazini sana zaidi ya muda wa kazi hadi weekend nakuwa huko. Hili nashindwa elezea marafiki zangu sababu naona watanipa habari za 'haikuwa mpango wa Mungu', 'subiri wako yupo' etc.Nimeshafikiria hadi kuhama nchi ila kikwazo ni fedha tu. Nafikiri muda wote nilitaraji jamaa angerudi kwangu lakini doh! Salaleee huyu si wangu milele maana sote wakristo. Nishaurini wana jamvi nifanyeje?
kwa hio anataka uendekwenye harusi yake ama vipi?
pleasego there, utaishia huku wenzio waki !!!
kitendo chawako, ni dhahiri kuwa alidhamiria kukuacha makusudi ili akaoe kwingine...
usishangae ukienda huko ukaishia......
Pole dada. Unavyojiskia ni kawaida tena ushukuru hata kazi unaweza kufanya mpaka muda wa ziada. Huo ni mwanzo mzuri. Jipe muda wa kulia maana ni hatua ya kawaida ya kukabiliana na machungu, ila katika kulia kwako usijipe nafasi ya kujilaumu kuwa ulikosea ulipoenda kukutana na yule mtu. Hicho kilikuwa ni kisingizio, maamuzi alishayafanya. Kubali tu kuwa likuepukalo lina heri. Hii kauli utaithibitisha ukishapona majeraha. Lakini ukiruhusu kulia kwa muda mrefu utajiharibia maisha yaliyobaki kwani utapoteza muda na fursa nyingi. Kwanza kinachokusumbua ni wivu kwa sababu mlishaachana kwa mwaka na nusu. Huo mwaka na nusu uliishije bila yeye? Au ni lile tumaini la kuwa kuna siku atarudi ndo huamini kama limekufa?. Usipoangalia utaendelea kuwa na matumaini kuwa huyo mke atakufa halafu mtaoana. Hakuna namna ya kumfariji mtu akaelewa maana wengi husema sisi wafariji hatuelewi namna mnavyoumia, ila amini kuwa lililokupata ni la kawaida na huwezi kupewa jaribu kubwa kukushinda. Kuna mtu aliachwa wiki 1 kabla ya harusi na mpaka leo hajawahi kupewa sababu lakini alivuka na sasa anaishi maisha yake kama kawaida.
Kua na moyo wa subira
Utampata wako na kumsahau jamaa.utasema bora nigempata huyu mapema