Naumia sana kubaguliwa na wazungu kila wakati

Aiseee!

Nikishasikia haya hadi kwa nchi ambayo huwa naiona kama ya mfano kwenye civilization.Huwa naona bora nifie huku huku bara la giza, nipambane na wakina jiwe.

Sipendi kabisa kubaguliwa hata kama kwa kiasi kidogo, hasahasa kubaguliwa na ngozi nyeusi kama yangu.
Tanzania kuna ubaguzi sana tu.

Mfano. Watu wenye sifa nzuri lakini wanakosa ajira kwa sababu hawana ndugu wenye majina makubwa na nafasi, wanabaguliwa.

Nilivyoanza kufanya kazi Dar, nilikuwa nachukizwa sana na mawazo ya watu wengi niliokuwa nawaambia nimeanza kazi sehemu fulani. Kitu cha mwanzo kuniambia kilikuwa "Mzee amekuunganishia eeh?". Wakati kazi nilitafuta mwenyewe, hiyo "Mzee" alikuja kuambiwa baadaye.

Nikaona labda nikienda nchi ambayo watu hawamjui "Mzee" wangu, nitaweza kutambulika mafanikio yangu kama yangu mwenyewe, si ya kutumia mgongonwa "Mzee".

Akili za wengi zimekaa kutoangalia ubaguzi anaofanyiwa Mtanzania na Mtanzania mwenzake, hata ukiwa mkubwa.

Wakati mzungu akikupisha kiti kwenye basi tu, kwa sababu tuna tamaduni tofauti za "personal space", sisi tunaona kubanana ni sawa, wenzetu wanaona si sawa, kwa mtu yeyote tu, sisi nibwepesi sana kuona hapo umepishwa kwa kubaguliwa.

Kuna tangazo la kazi nililiona, linataka mtu anayewania nafasi ya kawaida tu aongee lugha ya Kigujarati. Hiki kigezo kimsingi kinamaanisha Wahindi walikuwa hawataki Mtanzania mweusi afanye kazi hiyo. Nchi kama Marekani sheria kama za Equal Opportunity zinakataza mambo kama hayo.

Tanzania hatuna sheria kama ya Equal Opportunity ya Marekani.

Ni rahisi kufanya institutional discrimination Tanzania kuliko nchi kama Marekani.
 
Wakihama kqenye sit we lala kabisa au kama unakitabu jisomeee mpaka mwisho wa safari.

Halafu siku nyingine unategeneza false book cover tena kubwa ambayo imeandikwa
your first mother was
a
White Chimpanzee
volume 1.
halafu unakifunua mwanzo mwisho wa safari ili kila aliye kupisha apate ujumbe huo

eh bwana hatari wewe
 
Wakihama kqenye sit we lala kabisa au kama unakitabu jisomeee mpaka mwisho wa safari.

Halafu siku nyingine unategeneza false book cover tena kubwa ambayo imeandikwa
your first mother was
a
White Chimpanzee
volume 1.
halafu unakifunua mwanzo mwisho wa safari ili kila aliye kupisha apate ujumbe huo

afu chini ya kichwa cha kitabu asisahau haya maneno "1st World Trusted Edition
 
Ni mwaka wa 10 sasa nipo nje ya Tanzania
Ubaguzi Kwa baadhi ya maeneo ni changamoto sana hasa Maeneo ya Asia
Na eastern Europe,

Hasa uturuki nilishangaa sana hata kupanda bus ukiwa mwenyewe mweusi kituoni dereva anaweza akapita,
Urusi ndo nimekaa sana kabla ya kwenda Thailand na mwishowe hapa Finland

Ubaguzi sijui wazungu tuliwakoseaga nini

Britannica
Usiangalie hilo mkuu. Usijali kabisa,jifanye kama huoni chochote,huku kila wakati ukiuambia moyo wako “mtaka cha uvunguni”. Tena wanapokuhamia sit wewe jifanye kama unalia kabisa hizo sit zote ulizoachiwa. Ili mradi tu katika mambo yako unayoyafanya huko kumbuka sana kuwekeza kwa nguvu huku nyumbani. Hayo machozi yako yote yatakuja kufutwa pale unapoviona vitega uchumi ulivyowekeza nyumbani na matunda yake
 
Usiangalie hilo mkuu. Usijali kabisa,jifanye kama huoni chochote,huku kila wakati ukiuambia moyo wako “mtaka cha uvunguni”. Tena wanapokuhamia sit wewe jifanye kama unalia kabisa hizo sit zote ulizoachiwa. Ili mradi tu katika mambo yako unayoyafanya huko kumbuka sana kuwekeza kwa nguvu huku nyumbani. Hayo machozi yako yote yatakuja kufutwa pale unapoviona vitega uchumi ulivyowekeza nyumbani na matunda yake.
 
Mabeberu ni wapuuzi

Endeleeni kuwanyenyekea msiojitambua
Kati ya watu wenye afadhali kwenye ubaguzi, ni hao mabeberu...
Wachina ni wabaguzi ajabu hadi mwaka jana tu kuna raia kamtukana Rais wa Kenya na wakenya wote nyani

Urusi mnaowaona wema, hao ndio wabaguzi usiseme

Waarabu, wahindi, walatino, hawa ndio usiseme

Mwafrika hana rafiki duniani, ila cha ajabu kabisa yeye mwenyewe sio rafiki yake
 
Waulize babu zao au watafute babu zako wanaijua historia...!
Ni mwaka wa 10 sasa nipo nje ya Tanzania
Ubaguzi Kwa baadhi ya maeneo ni changamoto sana hasa Maeneo ya Asia
Na eastern Europe,

Hasa uturuki nilishangaa sana hata kupanda bus ukiwa mwenyewe mweusi kituoni dereva anaweza akapita,
Urusi ndo nimekaa sana kabla ya kwenda Thailand na mwishowe hapa Finland

Ubaguzi sijui wazungu tuliwakoseaga nini

Britannica
 
Ubaguzi upo kila mahali.

Hata Tanzania ubaguzi upo.

Nakumbuka mwaka 2007 baadhi yetu humu tulimtetea sana Richa Adhia, Miss Tanzania wa wakati huo.

Yeye ni mwenye asili ya Kiasia na kuna Watanzania weusi ambao hawakufurahishwa na ushindi wake.

Suala la ubaguzi halianzii na kuishia kwa Wazungu tu.

Huo ndiyo ukweli wenyewe.

Hivi, wewe mwenyewe ushajifanyia tathmini ya ubaguzi? Kwamba wewe ni mbaguzi wa rangi au si mbaguzi?

Ni kawaida ya binadamu kuwaona binadamu wengine ndiyo wabaguzi lakini ukianza kuuliza mtu mmoja mmoja kama yeye ni mbaguzi au si mbaguzi, naamini wataokiri kuwa wao ni wabaguzi watakuwa ni wachache sana.

Kuhusu Trump, si wote waliompigia kura ni Wazungu tu. Na hata Wazungu waliompigia kura, si wote ni wabaguzi.

Hata Obama alipigiwa kura na ma New Black Panthers ambao ni wabaguzi wa rangi pia.

Duniani sio UTOPIA...I don't pretend kila race zinathamiana just because it is the right thing to say.
I do not pretend the world is justified to hate my race just because kuna ubaguzi Tanzania.
Just because dictatorships in Afrika is pandemic, I will not stand and say "bora colonial rule kuliko kutawaliwa na madicteta waafrika".

To leave in a diversity world, as it is being preached while exercising selective economic suctions, international institutions designed to advance one race in the expense of another...One has to take a stand on what they observe. There are many wrongs, so I pick my fight and my position. I picked mine relevant to me as an Afrikan, and I stand by it.
 
England almost kama US tu, mayor wa London ni Muislam Mpakistan, hii sio rais kwa nchi nyingi, mawaziri wengi tu ambao sio wazungu wanateuliwa
Huwa nikiwaambia watu kuwa US hakuna ubaguzi kama inavyodhaniwa, watu wanaleta ligi.

Mimi sijawahi ku experience ubaguzi wowote ule ulio wa wazi kutoka kwa Wazungu.

Na ninaweza kusema kuwa katika mataifa mengi hapa duniani, ikija kwenye mambo ya ubaguzi, Marekani imepiga hatua ndefu sana katika kuhakikisha inapambana nao kikamilifu.

Mfano mmoja tu: ni nchi gani ingine hapa duniani ambapo ethnic minorities wake wamefanikiwa sana kiasi cha kuweza kushika nafasi zote kubwa za kiutawala, zaidi ya marekani?

Mayors, governors, representatives, senators, president, Supreme Court justices, cabinet secretaries, surgeons, CEOs, billionaire businessmen and women, military generals, chairman of the joint chiefs of staff, university and college presidents, academics, etc.
 
Duniani sio UTOPIA...I don't pretend kila race zinathamiana just because it is the right thing to say.
I do not pretend the world is justified to hate my race just because kuna ubaguzi Tanzania.
Just because dictatorships in Afrika is epidemi, I will not stand and say bora colonial rule kuliko kutawaliwa na madicteta waafrika.

To leave in a diversity world, as it is being preached while exercising selective economic suctions, international institutions designed to advance one race in the expense of another...One has to take a stand on what they observe. There are many wrongs, so I pick my fight. I picked mine relevant to me as an Afrikan, and I stand by it.

Duh! Nimebaki nacheka tu 🤣

Hata hivyo, it’s all good.
 
Ni kama vile mnavyowabagua vilema, mashoga, wanawake, chadema, ccm, waislamu, maalbino nk.

Unashangaa nini?

House girl wako tu hapo ndani unamuona kama jibwa la kuokota!

Onja na wewe hiyo ladha ya ubaguzi uone inafananaje ili wakati mwingine uwe na utu kwa watu wengine!
Hahaa, ukitaka kujua watu weusi walivyo, tazama jinsi wanavyowa treat wanawake na kuwasema.
Mtu anaanzisha mada na kusema wanawake sijui akili zao zipo finyu na anaungwa mkono na watu wengi tu,
Kisa alisalitiwa na mwanamke, generalization ya ajabu

Au mtu mweusi aliyeishi Ulaya au USA aje bongo kisha aibiwe na kibaka kwa bahati mbaya tu atatukana wabongo wote

Hata mtu aliyekulia Dar akaenda Kijijini huko labda akala chakula tumbo likachafuka kwa bahati mbaya
atatukana watu wa mikoani Ni wachafu, wanaoishi Kama wanyama
 
Back
Top Bottom