Ila tunavyowashobokea sasaNi mwaka wa 10 sasa nipo nje ya Tanzania
Ubaguzi Kwa baadhi ya maeneo ni changamoto sana hasa Maeneo ya Asia
Na eastern Europe,
Hasa uturuki nilishangaa sana hata kupanda bus ukiwa mwenyewe mweusi kituoni dereva anaweza akapita,
Urusi ndo nimekaa sana kabla ya kwenda Thailand na mwishowe hapa Finland
Ubaguzi sijui wazungu tuliwakoseaga nini
Britannica
Aiseee!Niko Lithuania kwa Muda lakin makazi kamili yapo Finland since April this year
Ni mara nyingi sana mtu unabaguliwa lakini basi tu. Yaani unapanda treni ya mwendo kasi ukikaa kwenye siti wanahama wote. Nimejisikia vibaya sana aisee.
Ni zaid ya kunyanyapaliwa
Kuna NGO moja hapa Tanzania nilitaka kufanya nao kazi nikaambiwa Kama si mchaga hupati kazi. Hii niliambiwa live na rafiki yangu ambaye ni mchaga na alikuwa anafanya kazi hapo.Finland nao ni wabaguzi ila siyo kama Watu wa urusi,
Wakihama kqenye sit we lala kabisa au kama unakitabu jisomeee mpaka mwisho wa safari.
Halafu siku nyingine unategeneza false book cover tena kubwa ambayo imeandikwa
your first mother was
a
White Chimpanzeevolume 1.halafu unakifunua mwanzo mwisho wa safari ili kila aliye kupisha apate ujumbe huo
Wakihama wote lala na ujigaragaze kwenye siti kabisa.Ni mara nyingi sana mtu unabaguliwa lakini basi tu. Yaani unapanda treni ya mwendo kasi ukikaa kwenye siti wanahama wote. Nimejisikia vibaya sana aisee.
Ni zaid ya kunyanyapaliwa
Mbona hata sisi kwa sisi tunabaguana! Mfano Ccm wanawabagua wapinzani mchana kweupe, tumechukua hatua gani? Waislamu wanawabagua wakristo, na wakristo wanawabagua waislamu,! Mifano ni mingi.
Hiyo ni hulka ya mwanadamu wa aina yoyote ile. Haijalishi rangi yake, kabila lake, dini yake, itikadi yake, nk.
Jambo la muhimu ni aidha kupuuza au kupambana dhidi ya huo ubaguzi.