Naumia sana kubaguliwa na wazungu kila wakati

Hongera ndugu kumbe uko majuu
Ni mwaka wa 10 sasa nipo nje ya Tanzania
Ubaguzi Kwa baadhi ya maeneo ni changamoto sana hasa Maeneo ya Asia
Na eastern Europe,

Hasa uturuki nilishangaa sana hata kupanda bus ukiwa mwenyewe mweusi kituoni dereva anaweza akapita,
Urusi ndo nimekaa sana kabla ya kwenda Thailand na mwishowe hapa Finland

Ubaguzi sijui wazungu tuliwakoseaga nini

Britannica
 
Wakihama kqenye sit we lala kabisa au kama unakitabu jisomeee mpaka mwisho wa safari.

Halafu siku nyingine unategeneza false book cover tena kubwa ambayo imeandikwa
your first mother was
a
White Chimpanzee
volume 1.
halafu unakifunua mwanzo mwisho wa safari ili kila aliye kupisha apate ujumbe huo
 
Mbona hata sisi kwa sisi tunabaguana! Mfano Ccm wanawabagua wapinzani mchana kweupe, tumechukua hatua gani? Waislamu wanawabagua wakristo, na wakristo wanawabagua waislamu,! Mifano ni mingi.

Hiyo ni hulka ya mwanadamu wa aina yoyote ile. Haijalishi rangi yake, kabila lake, dini yake, itikadi yake, nk.
Jambo la muhimu ni aidha kupuuza au kupambana dhidi ya huo ubaguzi.
 
Back
Top Bottom