Naumia sana kubaguliwa na wazungu kila wakati

Kiranga, Aiseee!

Nikishasikia haya hadi kwa nchi ambayo huwa naiona kama ya mfano kwenye civilization.Huwa naona bora nifie huku huku bara la giza, nipambane na wakina jiwe.

Sipendi kabisa kubaguliwa hata kama kwa kiasi kidogo, hasahasa kubaguliwa na ngozi nyeusi kama yangu.
 
Back
Top Bottom