Bora ukikwangue kiishe
hivi kibamia ni inch ngapi?
unashindia chipc kav halaf unaenda kucmamia ukucha! utakufa bila kuacha wosia.
Ngoja, ikisimama nitaipima. Ila viagra leo sina.:smile-big:Mb'oo yoyote chini ya inch 7.5 ikisimama ni kibamia.
Kweli kila MTU ana matatizo yake duniani huezi amini mimi naachwa na wanawake wanakimbia ukwl nina uume mnene na mrefu huezi amini nikikutana na mwanamke cku moja ndio harudi tena.bola ww kk usiombe hya ya kwetu ni shiiiida.
yategemea na kina unachoingia wengine hata 10 ni kibamia hahahhahivi kibamia ni inch ngapi?
kapochi ninako, ni pm basi.Pole jaman mm navipendaga jaman ila ujumlishe na kapochi nitakuita majina tote ata nikikohoa na kutoka nje kabisa wala cjali
Kwingine kooote nilikuelewaMsaada wanaJF,
Mimi nina 'kibamia' na kitu kinachonifanya niumie zaidi ni pale tena ninapokuwa kwenye 6*6 bado nawahi 'kumwaga', haijalishi ni bao la 2 au la tatu. Kiukweli wasichana niliowahi kutoka nao wamenikimbia kutokana na tatizo hili la kibamia na kuwahi kumwaga.
Nilikuwa naomba msaada wa kimawazo ndugu zangu kiukweli muda mwingne natamani hata nijiue maana nashindwa kudumu na wapenzi wangu.