MAHERr
Member
- Sep 24, 2021
- 16
- 15
Naa'm wakurugenzi, natumaini mu wazima wa afya.
Moja kwa moja niende kwenye mada. Moja kati ya lengo la kufanya mapenzi ni kufika kileleni, lakini linapokuja suala la kuchelewa inakuwa kero kwa mwenzako.
Nimesoma makala mbalimbali kutoka humu JamiiForums na kwenye social medias nyingine kuwa, wanaume wengi wamekuwa wakilalamika juu ya kuwahi kufika kileleni, lakini kwangu mimi imekuwa ni tofauti.
Wataalamu wa mambo wanasema kuwa muda sahihi wa mwanaume kukaa kwenye tendo kwa bao la kwanza ni kati ya dakika 7-15 na nimesikia kuwa kuna baadhi ya vijana huenda mpaka kweny dk40.
Kwa wastani huwa natumia masaa 2 had 2:30 kwa bao la kwanza na hiyo ni kama sijajihusisha na sex kwa atleast wiki 2 hivi. Na kama nitafululiza, mfano jana nilifanya na leo nikafanya, hunichukua hadi masaa manne kwa bao la kwanza. Hii imepelekea kutokuelewana na mpenzi wangu na mara nyingi huwa na ishia njiani (yani simwagi) akianz kulalamika kuwa amechoka.
Kwahiyo naombeni msaada wakuu na ushauri.
NB: sijawahi kutumia viagra au dawa za kusisimua misuli, pia sijawahi kufanya masturbation. Na kamwe sijawahi round when I sex.
Kwenu wakuu.
Moja kwa moja niende kwenye mada. Moja kati ya lengo la kufanya mapenzi ni kufika kileleni, lakini linapokuja suala la kuchelewa inakuwa kero kwa mwenzako.
Nimesoma makala mbalimbali kutoka humu JamiiForums na kwenye social medias nyingine kuwa, wanaume wengi wamekuwa wakilalamika juu ya kuwahi kufika kileleni, lakini kwangu mimi imekuwa ni tofauti.
Wataalamu wa mambo wanasema kuwa muda sahihi wa mwanaume kukaa kwenye tendo kwa bao la kwanza ni kati ya dakika 7-15 na nimesikia kuwa kuna baadhi ya vijana huenda mpaka kweny dk40.
Kwa wastani huwa natumia masaa 2 had 2:30 kwa bao la kwanza na hiyo ni kama sijajihusisha na sex kwa atleast wiki 2 hivi. Na kama nitafululiza, mfano jana nilifanya na leo nikafanya, hunichukua hadi masaa manne kwa bao la kwanza. Hii imepelekea kutokuelewana na mpenzi wangu na mara nyingi huwa na ishia njiani (yani simwagi) akianz kulalamika kuwa amechoka.
Kwahiyo naombeni msaada wakuu na ushauri.
NB: sijawahi kutumia viagra au dawa za kusisimua misuli, pia sijawahi kufanya masturbation. Na kamwe sijawahi round when I sex.
Kwenu wakuu.