Naumbuka! Nina Kibamia na nawahi kufika kileleni

Aiseee naona umekuja kutangaza jf.. kwakweli hako kadude kako kalinichefua sitaki tena hata salamu yako!
 
Pole jaman mm navipendaga jaman ila ujumlishe na kapochi nitakuita majina tote ata nikikohoa na kutoka nje kabisa wala cjali

😂😂😂😂😂😂😂😂😂wtf jf imekuaje
 
Hahahaa mie nakuelewa kama ana pesa utamvumilia sio..?ukishamchuna usimkimbie sasa anataka kuoa ujue

Akuuuuu shoga ang smchuni nitamfichia aibu hii hadi kifo kitakapo tugenganisha😍😍😍😍
 
msaada wana jf mimi nina kibamia na kitu kinachonifanya niumie zaidi ni pale tena ninapokuwa kwenye 6*6 bado nawahi kumwaga ,haijalsh ni bao la 2 au la tatu kiukwel wasichana niliowah kutoka nao wamenikimbia kutokana na tatizo hili la kibamia na kuwah kumwaga nilikuwa naomba msaada wa kimawazo ndugu zangu kiukwel muda mwingne nataman hata nijiue maana nashindwa kudumu na wapenz wangu

Duuuh!! ulioachana nao wote yange kuwa matofali ungejenga nyumba ya vyumba vingapi mkuu? tuwekane wazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom