huenda hawajui wanachotaka na kabisa hawamjui adui yao.
inashangaza wanaheshimu ukomo wa muda wa maandamano katika siku kwa kujibu wa sheria, halafu eti wanaona ni haki yao kuvunja maduka, kuiba mali, kuchoma maduka na kuharibu miundombinu ilojengwa kwa kodi zao..