Naulilia mkoa wa Lindi

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,615
Nimeamua kuja kupumzika Lindi nikisubiri sikuchache zilizobaki ziishe kabla 2011 haujabatizwa jina jipya liitwalo mwaka jana.
 
Sema umerudi kijijini kwenu mwisho mwaka. Wasalmie wote Lindi.
 
@sijui nini....waafrka kuwa 2livyo kunauhusiano gan na alchoandka huyu mtoa mada??
 
Back
Top Bottom