Tunajua nishati ya mafuta imepanda kwenye soko la dunia, lakini hiyo bei waliyopendekeza is even more than too much. Ni matarajio yangu sumatra watafanya kazi yao ipasavyo ikiwa ni pamoja na kutushirikisha sisi wadau wakuu wa wenye mabasi. Asante.
NB; Ila hayo ni madenkezo tu nikionacho mwa mjibu wa mleta thread.
NB; Ila hayo ni madenkezo tu nikionacho mwa mjibu wa mleta thread.