Serikali yetu siyo ya majimbo (not federated states).....Mkuu ukiangalia baadhi ya sababu alizotoa Magufuli inawezekana wakazi wa Kigamboni wanaonewa. Kwa mfano, magufuli amesema kuwa kupandiswa kwa nauli, kutasaidia kununua kivuko kipya kwa ajili ya safari za Bagamoyo na feri. Kama ni hivyo kwa nini gharama za hicho kivuko cha Bagamoyo walipie wakazi wa kigamboni ambao hawatakitumia? Kama mdau mmoja alivyouliza kwenye thread nyingine, kwa nini "asiwapandishie bei za mabasi na daladala wanaosafiri kati ya dar na bagamoyo?"
Kama Magufuli angekuwa amewashirikisha watu wa Kigamboni kwenye maamuzi yake ya kupandisha nauli halafu wakamwuliza hilo swali angewajibuje? Kwa nini watu wa Kigamboni wagharimie usafiri wa watu wa Bagamoyo? Maana sasa tutaambiwa na gharama ya viwanja vya ndege itapanda kwa ili kusaidia kujenga uwanja wa ndege bagamoyo. Tutaambiwa gharama za bandari inabidi zipande ili kujenga bandari Bagamoyo.
Kuhusu la wabunge, of course, nao ni wa kulaumiwa. Magufuli anasema upandishaji wa nauli ulitangazwa kwenye gazeti la serikali toleo namba 367 Aprili mwaka jana. Ina maana wabunge wote wa Dar Es Salaam hawakuliona hilo tangazo? Kwa nini wamesubiri mpaka sasa ndio wanaanza kulalamika? Lakini pamoja na hayo mimi naangalia zaidi at the root of the problem which is serikali.
serikali haina hela ya rukuzu uchumi wetu huko hoi, kulinganisha bei ya kitumbua na bei za kivuko sio sahihi sana, kitumbua au aina nyingine yoyote uzalishaji hisiyo na subsidy ghamala upanda kutokana na ghalama za uzalishaji na faida,lakini hapa kwenye kivuko kuna rukuzu inasaidia kuweka mambo sawa, mapato ya kivuko hayakidhi ghalama za uendeshaji, Hivyo basi kama rukuzu ikipungua au ghalama za uendeshaji zikipanda lazima nauli au ruzuku iwe affected.
Nilichoona mimi kwenye ili suhala la kivuko kuna kificho sana, ilipashwa kujulika ghalama za uendeshaji ni kiasi gani (ni hakika zimepanda kutokana na kupolomoka kwa shillingi) na mapato ni kiasi gani kutokana na nauli, na ruzuku kutoka serikali ni kiasi gani ( hii inaweza kuwa imepunguzwa au kutokwenda sambamba na kupanda na ghalama za uendeshaji zilizopanda) na hapo matokeo yake ni ongelezeko la nauli.
Kwa ujumla Nauli za Magufuli ziko sahihi maana sioni sababu babu yangu aliyepo mtukula kuendelea kumlipia nauli mkazi wa kigamboni kupitia rukuzu (kodi) kisa ni masikini eti ana biashara ya guta
Mkuu ume-touch vitu ambavyo nazungumzia. Kwanza, wizara yake kupitia TAMESA imeongeza viwango hivyo ili kuendana na gharama za uendeshaji ambazo ni kuongezeka kwa misharahara ua watumishi serikalini kwa zaidi ya asilimia 100, mafuta zaidi ya asilimia 400, vipuri na kodi, ikiwemo bei kwa ujumla. Lakini hizi gharama zimeongezeka lini? I am sure ni zaidi ya miaka 14 iliyopita. If, then kwani nini serikali hakupandish nauli kipindi hicho?
Serikali yetu siyo ya majimbo (not federated states).....
Kwa hiyo sioni tatizo la wakazi wa Dar (Jiji ambalo GDP yake ni kubwa kuliko baadhi ya nchi za Africa) kutozwa kodi au nauli ambayo itaweza kuleta maendeleo sehemu nyingine. As long as it's fair. Nchi yetu haiko kimajimbo, kodi zinazotoka Kahama zinajenga uchumi wa Dar, mabbe Kigoma etc.. hiyo ndiyo maana ya watu kuishi nchi moja.
Sasa kuna tatizo gani wananchi wa Kigamboni, kufacilitate maendeleo ya Bagamoyo? Mbona wakazi wa Dar wamekuwa wakilipa maendeleo ya mikoa mingine since day one? That's very common, actually ndiyo undugu huo... you have infrastructures so use those infrastructure to lift others who lack the same infrastructures.
All in all napataga wakati mgumu sana kuwaelewa wabunge wetu, most of them are vuvuzelas.
So, unadhani kwa wananchi wa Kigamboni ni fair kabisa kuchangishwa nauli kusaidia usafiri wa watu wa Bagamoyo? Kwa nini wasichangishwe hizo nauli ziwajengee daraja ili kuepukana na kero ya usafiri? Which fair: Wananchi wa Kigamboni kuchangishwa ili kununua kivuko cha watu wa Bagamoyo au kuchangishwa ili kujengewa daraja na kuachana na karaa za pantoni?
Daraja la kigamboni litajengwa, fedha za NSSF si za wakazi wa kigamboni pekee, na si kutoka kwa watanzania pekee. Bagamoyo inaweza kuwa na potential ya kuimarisha uchumi wa nchi nzima kama kutakuwa na investments zinazoleta maana. That needs research na personally sijawa na uwezo wa kubisha au kuunga mkono.So, unadhani kwa wananchi wa Kigamboni ni fair kabisa kuchangishwa nauli kusaidia usafiri wa watu wa Bagamoyo? Kwa nini wasichangishwe hizo nauli ziwajengee daraja ili kuepukana na kero ya usafiri? Which fair: Wananchi wa Kigamboni kuchangishwa ili kununua kivuko cha watu wa Bagamoyo au kuchangishwa ili kujengewa daraja na kuachana na karaa za pantoni?
Ingekuwa ni wabunge wa CCM peke yake, pengine nisinge hoji kwani tumewazoea wabunge wengi wa CCM (sio wote), kuja na matamshi ya ajabu ajabu. Mnyika ni mtu makini sana kutumbukia katika sakata lillojaa mantiki kuliko siasa, na hilo ndilo limenigusa zaidi.
Let's say serikali ilikuwa ikila hasara au niseme ikiingia gharama kubwa mno ambazo sasa imegundua haiwezi kuzibeba tena. Kuna ubaya wowote wa kubadili hilo sasa?
Nadhani hakuna tatizo na upandishaji nauli per say, tatizo lipo kwenye mahesabu. Mchanganuo wa uendeshaji uliopelekea kupanda kwa bei tunahitaji kuelezwa wazi. Ni haki yetu
So, unadhani kwa wananchi wa Kigamboni ni fair kabisa kuchangishwa nauli kusaidia usafiri wa watu wa Bagamoyo? Kwa nini wasichangishwe hizo nauli ziwajengee daraja ili kuepukana na kero ya usafiri? Which fair: Wananchi wa Kigamboni kuchangishwa ili kununua kivuko cha watu wa Bagamoyo au kuchangishwa ili kujengewa daraja na kuachana na karaa za pantoni?
Magufuli komaa nao, hakuna cha kuomba msahama wala nini. Mpaka 2015 lazima pachimbike, kuna watu wanakuota usiku,wanaweweseka, hasa wale wanaotokwa na mate ya urais 2015 na wafuasi wao. utendaji wako unawanyima usingizi. Haiwezi kuwa nchi, wala Dar es Salaam haliwezi kuwa jiji kama majitu na akili zao eti wanatetea MAGUTA toka kigamboni yawe yanangia city center karne hii!!!!!. This is too much for Dar es Salaam. We need more tough and authoritative leaders like Magufuli. Sio kwamba kila mtu anauwezo wa kuishi mjini bwana, ndio tunakuja kuapata aibu kama ya tuliyopata kwenye mafuliko. KAMA UNAWEZA PIGA MBIZI, NA KAMA HUJUI MBIZI NENDA KIJIIJI.
Hapa ni kuchangishwa kuwa pesa zao zidundulizwe inunuliwe feri nyengine au ni mzigo kwa serikali upungue hivyo pesa zilizokuwa zikiongezewa kwenye usafiri wao, sasa zitumike kwa wengine?
Imegundua lini? Kwa nini haukugundua in the past 14 years? Ilikuwa imelala?
Asante sana mchambuzi. Nakubaliana na tafakuri yako lakini napenda kufafanua ni kipi haswa kinacholalamikiwa na wabunge na wananchi wa Kigamboni. Kinacholalamikiwa zaidi ni upadishwaji mkubwa mno wa nauli ya mizigo kwa mfano baiskeli ya guta toka Tsh 200 hadi 1800, je hiyo ni asilimia ngapi ya upandishwaji huu wa Mheshimiwa Maghufuli? Na nini athari za upandishwaji huu wa nauli?
Cha pili kinacholalamikiwa ni arrogance ya Mh. huyu, ingawa binafsi naweza namsamehe kwa vile alichomekea neno "Wazaramo" kwa maana halisi kuwa alilenga kuwatania wazaramo ambao kwa jadi ni watani zake, lakini kauli yake hiyo imepokelewa tofauti na watu wengine waliomo katika sakata hili.
Ni kweli nauli ya sh. 200 ni ndogo kulinganisha na nauli zinazotozwa vivuko vingine lakini hili la nauli za mizigo limekuwa kubwa zaidi na la ghafla mno. Matokeo ya upandishwaji huu ni kuongezeka kwa bei karibu ya kila bidhaa kwa wakazi wa eneo hilo je hii ni haki? Hili ndilo lililomsukuma hata mbunge makini kabisa kama tunavyomuona na kumfahamu Mh. Mnyika kuungana na wenzake kwa maslahi ya walalahoi na si vinginevyo.
"This money would help us not only to improve the services but also we can now save and buy a new ferry boat when the need arises. We need to improve marine transport by enabling people who live in Bagamoyo, Kawe and Mbezi to use boats as another way of easing congestion on our roads…" Dr Magufuli said.
Mkuu ukiangalia baadhi ya sababu alizotoa Magufuli inawezekana wakazi wa Kigamboni wanaonewa. Kwa mfano, magufuli amesema kuwa kupandiswa kwa nauli, kutasaidia kununua kivuko kipya kwa ajili ya safari za Bagamoyo na feri. Kama ni hivyo kwa nini gharama za hicho kivuko cha Bagamoyo walipie wakazi wa kigamboni ambao hawatakitumia? Kama mdau mmoja alivyouliza kwenye thread nyingine, kwa nini "asiwapandishie bei za mabasi na daladala wanaosafiri kati ya dar na bagamoyo?"
Kama Magufuli angekuwa amewashirikisha watu wa Kigamboni kwenye maamuzi yake ya kupandisha nauli halafu wakamwuliza hilo swali angewajibuje? Kwa nini watu wa Kigamboni wagharimie usafiri wa watu wa Bagamoyo? Maana sasa tutaambiwa na gharama ya viwanja vya ndege itapanda kwa ili kusaidia kujenga uwanja wa ndege bagamoyo. Tutaambiwa gharama za bandari inabidi zipande ili kujenga bandari Bagamoyo.
Kuhusu suala la wabunge, of course, nao ni wa kulaumiwa. Magufuli anasema upandishaji wa nauli ulitangazwa kwenye gazeti la serikali toleo namba 367 Aprili mwaka jana. Ina maana wabunge wote wa Dar Es Salaam hawakuliona hilo tangazo? Kwa nini wamesubiri mpaka sasa ndio wanaanza kulalamika? Lakini pamoja na hayo mimi naangalia zaidi at the root of the problem which is serikali kulala for 14 years then kukurupuka ghafla na kufanya maamuzi bila kuwashirikisha waathirika.
So, unadhani kwa wananchi wa Kigamboni ni fair kabisa kuchangishwa nauli kusaidia usafiri wa watu wa Bagamoyo? Kwa nini wasichangishwe hizo nauli ziwajengee daraja ili kuepukana na kero ya usafiri? Which fair: Wananchi wa Kigamboni kuchangishwa ili kununua kivuko cha watu wa Bagamoyo au kuchangishwa ili kujengewa daraja na kuachana na karaa za pantoni?
Is this even a question?
Kila siku tunalalamika foleni ya DSM itapunguaje. One of the soulation ilikuwa ni kuzuia hayo MAGUTA na mikokoteni! Ila hakuna mbunge yoyote mwenye guts za kusema hilo (hasa hao wabunge wa vijiweni Dar)