figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Hatupendi tabu wala kupigishana kelele na wasichana sema wenyewe ndo mna tulazimisha kuongea. nyie wanawake ni watu na kutufariji na kutupeleka dunia nyingine. Lakini mnatumia mapenzi mnayotupa kama fimbo ya kutupigia na kutunyanyasa hadi kutuweka roho juu kiasi kwamba hata chakula hakiliki. haiwezekani jana tangia saa tatu asubuhi unaniambia eti unaniletea box nifungue pasipo kukuona eti unakuja saa tano usiku bila chochote na kusema kufuli yako ndo box eti nifungue huku umelewa. rudi huko huko. Mia