Nauchukia udaktari. Wanafunzi msiusomee. Hauvutii kama Ubunge, Uwaziri

Hujawahi kusikia meneja wa kampuni amegoma, sawa. Je, umeshawahi kusikia mganga mkuu wa hospitali amegoma? waganga wakuu ndio wanaofukuza madaktari waliogoma. Meneja ni sawa na mganga mkuu.
Kama udaktari umekushinda ni udhaifu wako mwenyewe na sio kosa la taaluma ya udaktari. Huna skills za kuuza ndio maana, wenye skills wanaenjoy profession yao fresh tu...

Kama vifaa tu vya hospitali ya Serikali imeshindwa kununua hizo skill utauzaje?
 
Kama vifaa tu vya hospitali ya Serikali imeshindwa kununua hizo skill utauzaje?

Muulize Dr. Kaushik anauzaje? Muulize dr. kairuki aliuzaje? Muulize Dr. Massawe anauzaje? Waulize madaktari wa Tumaini wanauzaje skills zao? Get yourself out of the damn box dude!!!
 
Wiki ya tatu sasa najaribu kujifunza na kuelewa molecule moja ya sukari inavyotengeneza ATP 38,ATP inapogeuka na kuwa ADP,nk. najiuliza huku nilikuja kutafuta nini? Biolojia na kemia vinanitoa roho
 
Wiki ya tatu sasa najaribu kujifunza na kuelewa molecule moja ya sukari inavyotengeneza ATP 38,ATP inapogeuka na kuwa ADP,nk. najiuliza huku nilikuja kutafuta nini? Biolojia na kemia vinanitoa roho

Ha ha haaa, mkuu umenikumbusha mbali sana!
 
Mimi wakuu nina mtazamo tofauti kidogo, si kila alieyesoma B.Com au BA au MBA ana maisha mazuri. Kila fani inalipa ni jinsi gani utajiuza na kupiga mzigo, watu wanataka professions ziwabebe, hakuna kitu kama hicho. Si kila Daktari ana maisha mabaya
Kuna Drs. Wanapesa mbaya kutokana na ku-practice. Sidhani kama Daktari specilists anaweza kulia njaa, labda apende!
 
Muulize Dr. Kaushik anauzaje? Muulize dr. kairuki aliuzaje? Muulize Dr. Massawe anauzaje? Waulize madaktari wa Tumaini wanauzaje skills zao? Get yourself out of the damn box dude!!!

Hivi unadhani kila mmoja angekuwa na access ya kuchota hela za EPA nani angelalamika kuongezwa mshahara. Waulize hao uliowataja kama wanaweza kukueleza walivyopata capital ya kuanzisha unavyoviona.

Wakikujibu, basi unastahili zawadi.
 
Muulize Dr. Kaushik anauzaje? Muulize dr. kairuki aliuzaje? Muulize Dr. Massawe anauzaje? Waulize madaktari wa Tumaini wanauzaje skills zao? Get yourself out of the damn box dude!!!

Aisee hujui hatari unayoieleza.

Kwamba wauze skills zao. Sawa, duka lipo na customer wapo. Daktari anafungua clinic yake mtaani anafanya kazi jioni anapotoka Bugando au Muhimbili.

Mgonjwa unakuja Bugando anakuambia hapa hakuna vifaa, hakuna dawa. Ugonjwa wako andaa hela nenda kwenye hospitali AAAABBB. Wewe bila kujua unatafuta iliko AAAABBB kumbe ni yake binafsi.

Kweli ukifika huo unatibiwa wakati ulishindwa kutibiwa Bugando.

Ndiyo picha unayotaka iwe kwa upuuzi wako humu. Tumia ubongo kabla ya kufikiri. Hivi unadhani sasa hivi unapoenda kutibiwa na doctor ambaye hana furaha hali itakuwaje?
 
Back
Top Bottom