Natupa line ya voda sasa

Natupa line ya voda sasa

Mimi nimehamia airtell ila nina voda na tigo penye unafuu ndo nahamia
 
Kwa sasa natumia tigo wakizingua, nahama airtel,nao wakileta hadithi na paa kwa Zantel au Voda,najua majanga hayawi sawa huku kubaya kule nafuu.
 
Bando ya voda ilivyobadilishwa haimjali mteja na sijui kama huyo jamaa aliyetoa wazo hili ameliweka kiushindani au anataka kufanya nn.Nilikua naona kwamba haya makampuni ya simu yalikua yanarahisisha mawasiliano ila kwa upande mwingine naona lengo kubwa ni kutengeneza faida na hapa ndio naona Serikali kupitia Kale kajamaa TCRA wanatakiwa waseme kitu
wadau mnaonaje?
Yaani umenikumbusha machungu tangu wabandil bundle wamekuwa makatili kama Kapuya. Nasubiri amri yako tu nikawa-westgate pale makao makuu yao au nifanyeje?
 
vodacom ni wapuuzi kabisa. Wamevuruga kila kitu. Najiandaa kujiunga airtel, naambiwa wao walau wana huruma. Voda bure kabisa!!

hivi kuna watu wanaendelea kutumia mtandao huu kuwasiliana? Minilishaachana nayo siku nyingi, imebaki kwenye m-pesa tu bas na labda kupokea sm kwa wale ambao wanaifahamu na hawajajua kama nimeamia airtel.
 
mi voda naitumia kwa m-pesa and not otherwise. mtandao gani mtu unaweka hela ile unataka kujiunga tu... unaambiwa huna salio na ukiangalia salio kweli hamna, yaani wizi wa mchana kweupe...
 
Vodacom ni wapuuzi kabisa. Wamevuruga kila kitu. Najiandaa kujiunga Airtel, naambiwa wao walau wana huruma. Voda bure kabisa!!

Yaani unajiandaa?
Mi nilidhani ushanunua line ya airtel umeanza na ka bando ka elfu 10 dakika 300 msg 700 na 1gb ya data.
Enewei, endelea kujiandaa bhana.
 
Voda imekaa kisiasa sana na kuna wakati makato yao yanakuwa ya ajabu ajabu mpaka inakera.
Ukiangalia kwa undani utagundua shareholders waliopo ni wanachama wa kile chama cha majanga.
So its a way ya kukusanya ruzuku za uchaguzi.
 
Kweli voda noma. Yani kofurushi cha mia tano kwenda mitandao mingine ni sek 50!
 
yaani hii mitandao imekuwa ni balaa hivi sasa. Tutaacha kuwasiliana sasa.
 
Wameua sana Voda mimi pia nahama mtandao huu wa kinyonyaji!!
 
Back
Top Bottom