uyui kwetu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 1,216
- 788
mm nimehama siku nyingi
Bando ya voda ilivyobadilishwa haimjali mteja na sijui kama huyo jamaa aliyetoa wazo hili ameliweka kiushindani au anataka kufanya nn.Nilikua naona kwamba haya makampuni ya simu yalikua yanarahisisha mawasiliano ila kwa upande mwingine naona lengo kubwa ni kutengeneza faida na hapa ndio naona Serikali kupitia Kale kajamaa TCRA wanatakiwa waseme kitu
wadau mnaonaje?
voda wamenisikitisha sana, unaweka hela mara yote inapotea bila maelezo. Nimeacha kutumia line yao sasa niko na airtel tu!