Natumia Biblia kutatua changamoto

We ndo unayelazimisha kwanini usiheshimu misimamo ya watu wengine

Yesu ni Mungu na alikufa msalabani na damu yake tunaitumia hata sahivi nimetoka kuitumia

YESU NI MTUMISHI WA MUNGU, HIVYO YEYE SI MUNGU!

Yesu (AS) akasema; “Kama vile Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, bali kutumika.” [Mathayo 20:28]

“Tazama mtumishi wangu (Yesu), niliyemchagua.” [Mathayo 12:18]

"Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka, amemtukuza mtumishi wake Yesu." [Matendo 3:13]

"Kwa maana ni kweli juu ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta." [Matendo 4:27]
 
YESU NI MTUMISHI WA MUNGU, HIVYO YEYE SI MUNGU!

Yesu (AS) akasema; “Kama vile Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, bali kutumika.” [Mathayo 20:28]

“Tazama mtumishi wangu (Yesu), niliyemchagua.” [Mathayo 12:18]

"Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka, amemtukuza mtumishi wake Yesu." [Matendo 3:13]

"Kwa maana ni kweli juu ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta." [Matendo 4:27]
Yesu ni Mungu
 
Bible code number 15:- PERESI PERESI PERESI PERESI
Kazi yake;- kupata idea ya dharura/haraka itakayokuvusha nyakati ngumu
(Mwanzo 26:1-5, 2 Wafalme 7:1-20)
  • Kipindi kigumu cha uchumi
  • Kipindi cha njaa
  • Kipindi cha vita
  • Wakati madeni yamekulemea
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka idea ya dharura itakapokuja kwenye fikra zako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka idea ya dharura itakapokuja kwenye fikra zako
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### kama ugonjwa uliokua nao inaweze ikawa wewe, ndugu yako, mzazi wako, hospitalini wamekuambi huwezi pona, na kuna magonjwa wewe au mtu wa karibu yako huwezi kuhimili gharama kama dialysis tamka code zifuatazo ###

Bible code number 40:- PERESI PETELI PETELI PERESI
Kazi yake;- kugusa upindo wa vazi la Yesu ili kupona magonjwa sugu ulioshindikana
(Luka 8:43-48, Luka 5:15)
Magonjwa sugu yaliyoshindikana hospitalini yanawezayakawa
  • Aggresive cancer
  • Kufeli kwa figo kunakotishia maisha ya mgonjwa
  • Neurodegenerative diseases mfano motor neuron, alzheimers, parkinson n.k
  • Magonjwa ya moyo
  • Na mengine mengi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
*### Kama gharama za dialysis ni changamoto kwako au kwa mtu unayemjua ###
Usisahau kutamka bible code number 40 Mungu atazihuisha figo zako na utaanza kukojoa kama zamani****
 
### kwa wale wenye cancer ambayo imejirudia baada ya kutibiwa kwa mara ya kwanza ###
Tamka bible code number 40 utapona***
 
### kupata wateja kwenye biashara yako au kampuni unayofanyia kazi ###

Bible code number 143:- TERE MENE TERE TERE
Kazi yake;- kupata wateja kwenye biashara yako au kampuni unayofanyia kazi
(Luka 5:3-6, Yohana 21:6, Mwanzo 31:11-12)
UNATUMIAJE
  1. Jina la biashara yako/sehemu unapofanyia kazi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina la biashara/kampuni - unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### kwa wale wenye cancer ambayo ipo stage za mwisho imesambaa na wameambiwa haiwezi tibika tena ###
Tamka bible code number 40
 
### kumlinda mke wako ###

Bible code number 22:- NENELI NENELI NENELI NENELI
Kazi yake;- kumlinda mke wako
(Mwanzo 20:1-14)
  • Dhidi ya nguvu ya fedha
  • Dhidi ya watu wenye fedha
  • Dhidi ya watu wenye mamlaka
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka kiu itakapoondoka
(Majina matatu ya mke wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### kwa wale ambao waliologwa###

Bible code number 09:- LENE MENE TEKELI MENE
Kazi yake;- kuondoa sumu ya kulogwa mwilini mwako
(Mathayo 26:26-28)
Kama umelogwa Mungu ataondoa sumu ya kulogwa iliyoko mwilini kwako na inayokutesa
  • Unaangalia kama sumu ya kulogwa ipo mwilini kwako pasipo kujua
  • Aliyelogwa amekua mgonjwa
  • Aliyelogwa amekua kichaa
  • Kuondoa kitanzi cha chuma ulete
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu akujulishe umelogwa ama haujalogwa
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu mwingine-unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka aliyelogwa atapona
(Unataja majina matatu ya aliyelogwa-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom